Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 4,856
- 13,159
Ingekua nchi nzima ni wakatoliki basi ungewaonaKwa hivyo sio wote bali wachadema tu?
Ingekua nchi nzima ni wakatoliki basi ungewaonaKwa hivyo sio wote bali wachadema tu?
Wewe unafikiriaje mbona nawe hukufunza au sio mwenzao?Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Waliofunga na kusali walifunga hao uliokua nao waache na mambo yao.Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Utaacha lini udiniTunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
nyie ndio mnaofunga kula maana akili zenu ziko tumboni,,kula ndio mnachowaza.Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
uislamu unakuchanganya weweTunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Kwani kusali na kufunga maana yake ni nini? Mfano, kwani wakati wa uchaguzi ni Watanzania wote hupiga kura? Jumapili ni Wakristo wote husali? Kwenye mikutano ya kisiasa ni wanachama wote wa vyama vya siasa huhudhuria shughuli au mikutano ya kisiasa? Nataka tu kukuonyesha kama ulikuwa na baadhi ya Wakatoliki, na ukaona kwamba walikuwa hawasali, na wala muda wote uliokuwa nao hukuona wakifunga, haina maana kwamba Wakatoliki wote hawakusali, na wala hawakufunga. Pili, hao uliokuwa nao, naamini hawakukushirikisha ratiba yao ya kusali na kufunga, na kama muda uliokuwa nao hukuona wakisali na kufunga, haina maana kwamba hawakusali na kufunga muda ambao hamkuwa pamoja. Hivyo, understanding yako ya kusali na kufunga inaweza kuwa haijitoshelezi. Na pia sioni kama ilikuwa vibaya kusali na kufunga ili Mwenyezi Mungu atujalie tuchague kwa uhuru na haki, na tuwachague viongozi wazuri. What's wrong with that?Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Wakatoliki ni wengi sana hata makanisa yao hayawatoshi hata kidogo.Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Wewe subiri ukale mbususu 72 zenye chuchu saa 6Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Kuku, wamwekee NAZI kabisa, maana hajui theolojia ya wakatoliiki anafananisha na kwao,wanakosafiri kwa ndege kwenda kufanya ibada ya kumpiga mawe Shetani 😅😅😅Wakatoliki hawafungi kula mzee, jitafakari kuhusu hicho kichwa ulichobeba kama kinakufaa au ufanyiwe exchange na Kuku.
Ngoja waje wanaodaiwa ndio waumini lkn midomon matusi tupu vip tutaweza kutofautisha kati ya awa waumini na ili genge la wahuni ngoja tuone kama kweli RC inaweza kurea vijana wao!!!Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Wewe ndio muumini wa RC majibu yako yamebeba Uumini wa kweli Hongera zako.Tulikesha usiku wa kuamkia Jumapili. Tuligawana saa za kusali kulingana na vyama vya kitume pamoja na jumuiya.
NikishakufaUtaacha lini udini