Wakatoliki gani walifunga?

Wakatoliki gani walifunga?

Kuku, wamwekee NAZI kabisa, maana hajui theolojia ya wakatoliiki anafananisha na kwao,wanakosafiri kwa ndege kwenda kufanya ibada ya kumpiga mawe Shetani 😅😅😅
Lkn ktk misikiti hakuna picha ya mwanamke mbele
 
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Umeshafakamia vijinyamba vya kugombea misikitini sasa unakuja kujamba jamba humu.
 
Kitima mwenye vimada karibu 50, na watoto kumi naye anamfungia mtu novena
 
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Acha ujinga.
 
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Tutajie mkatoliki mmoja weka na uthibitisho wa cheti chake cha ubatizo
 
Elewa kwamba, kufunga sio kutokula tu.
Kuna njia nyingi za kufunga kama unataka jambo laki lifanikiwe.
Mfano unaweza kufunga kutembea na mke wako hata miezi miwili, unaweza kufunga kwa kutokula muda uliojipangia sio lazima ujipangie masaa 12.
Unaweza kufunga kutoongea na watu wajinga, unaweza kufanya RETREAT kabisa ya kutokula chakula, kutoonana na kutoongea na mtu yoyote au kusikia Saudi yoyote huku ukiongea na MUNGU tu kwa siku tatu hadi jambo lako litimie.

Inaelekea wakatoloki wanakukera sana kwa walivyo elimika na kuwa watulivu.
 
Back
Top Bottom