Wakatoliki gani walifunga?

Wakatoliki gani walifunga?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
 
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
wakatoliki hawafungi kwa kushindaa njaa
 
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Kwani nani kakwambia wanafunga kama nyie kobaz mkiona mtu anapita mbele yenu anakula basi mna amua kumpiga fimbo
 
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Tulikesha usiku wa kuamkia Jumapili. Tuligawana saa za kusali kulingana na vyama vya kitume pamoja na jumuiya.
 
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Una Malaria 2 kwenye ubongo...!!!
 
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Funga yao sio funga yenu ulijue hili
 
Wamelishambulia hili jinga mpaka limetoka nduki kwenye uzi wake lenyewe😀😀
 
Kufunga siyo kuacha kula mzee ni kujiona kimatendo na kufanya toba. Hivi ndio maana ya kufunga maana wakatoliki walianza kufunga kabla Mohamad hajazaliwa
Kabla Muhammad kuzaliwa kulikua na wakatoliki? Inaama Vatican ilianzishwa kabla Muhammad? Unaakili kweli wewe?
 
Tunaambiwa na TEC kwamba wakatoliki walikua katika mfungo kwa ajili ya kuombea haki uchaguzi mkuu.
Mbona tukila nao mchana majumbani na mikahawani na mama ntilie ?
Au wakifunga vipi ?
Au ilikuwa kutisha nyau?
Uliosoma nao shule wote ulishakutana nao? Nchi kubwa hii kijana
 
Back
Top Bottom