Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Atakwambia hata abood alianza kama huyo kijana.Unamfananisha Abood na kijana alomaliza chuo mwaka jana,kweli?
Atakwambia hata abood alianza kama huyo kijana.Unamfananisha Abood na kijana alomaliza chuo mwaka jana,kweli?
Misiba hyo kwa familia za hao wahudumu wa hzo busAjira hizo kwa makonda, madereva na utingo wao.
Pia inategemea mbuzi kafungwa wapiKila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake
Sikutaka kuchangia ila umenishawishi.Huu uzi ungekuwa unasema Abood kafilisika na magari yake yote kayapiga mnada uzi ungekuwa page ya 71
Lakini kaogeza gari imekuwa kama imewauma flani watu wanasema mitaani hamna hela huyu kapata wapi hizi hela za kununua hizo gari!
Vijana tunafanye kazi hizi hela wanazo miliki hawa wazee kama kina Abood, Mengi, Bahkresa tuzirudishe mikononi mwetu sisi vijana damu changa, tusikubali wao ndiyo wawe juu yetu, tuwanyangane kwa kufanya kazi na sisi tumiliki hizo mali
Uzi wako haujaeleweka abood unamfananisha na mim mtu wa uswaziView attachment 448948
Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Zote zilipangwa stendi upande wa gereji.Nilifikiri upo kwenye Yard yake kumbe upo stand!
Haya safari njema
Umevuta ya wapi ? Naona neti inayumba.Huu uzi ungekuwa unasema Abood kafilisika na magari yake yote kayapiga mnada uzi ungekuwa page ya 71
Lakini kaogeza gari imekuwa kama imewauma flani watu wanasema mitaani hamna hela huyu kapata wapi hizi hela za kununua hizo gari!
Vijana tunafanye kazi hizi hela wanazo miliki hawa wazee kama kina Abood, Mengi, Bahkresa tuzirudishe mikononi mwetu sisi vijana damu changa, tusikubali wao ndiyo wawe juu yetu, tuwanyangane kwa kufanya kazi na sisi tumiliki hizo mali
Nilikuwa stendi ya Ubungo.Upo stendi hipi tuanzie hapo
Hahahah, kweli mkuu hayo huwa ndiyo majibu yaoAtakwambia hata abood alianza kama huyo kijana.
Tumia akili ww, kwahyo unamlinganisha abood na nani, tambua abood ni mojawapo ya matajir wakubwa tz hata africa.View attachment 448948
Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
matajiri ni nani aliwawezesha?Hii ni serikali ya maskini. Maskini wamewezeshwaje? Maskini hawana kitu kbs nyie mko kusifia serikali tu!!!!/
Kweli yeye amefanya niniWenzio wakifanya haya, wewe unaishia kushabikia tu. Amka wewe