Basso seleman
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 432
- 118
watu wana park ma bus wanauza visima yy anaongeza au alizan December ya mwakahuu ni kama December za miaka ya kikwete mwambie asbr kuhesabu moja mpaka kumi
View attachment 448948
Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Mada zingine kweli kichefuchefuView attachment 448948
Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Wengi wanasubiri serikali itoe ajira ,sasa kila mwaka wahitimu ni maelfu sijui serikali itatoa wapi hizo ajira. Mbona wengine tulianza kupigisha simu enzi zile dk 300 na Leo tumepiga hatua.Hakuna cha uelewa mdogo....mfanye kazi kwani kumaliza chuo mwaka jana ndo inakufanya husiingie mtaani nakuwa mchuuziiii?,tatizo la vijana wengi mkiwa chuo mnakuwa mabishoo watu wa matanuzi hasa kwa mademu zenu so mkimaliza chuo boom limekata mtaani hajira hakuna....mnaogopa tembeza mabeseni.....kupata chaneli lazima ujivuruge na kila mishe.....
Ungefanya kazi ungepata wapi muda wa kutafuta na kutangaza Abood anafanya nini?View attachment 448948
Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Wewe ni mshamba wa kupitiliza! Uwezo wako wa kuanalyze mambo in very poor.Unkuja kusifiasifia tu wanaume wenzako hapa ni tabia za wanaopumuliwa. Utawezajekumlinganisha Abood, MTU mbaye amerithi Mali toka kwa mababu zake wa enzi na enzi na mtoto wa mkulima?. Halafu etii fanyeni kazi,siku zote tunakula kwa baba ako?mshamba mkubwa hebu tembea mbele ushaniaribia Siku yanguHakuna cha uelewa mdogo....mfanye kazi kwani kumaliza chuo mwaka jana ndo inakufanya husiingie mtaani nakuwa mchuuziiii?,tatizo la vijana wengi mkiwa chuo mnakuwa mabishoo watu wa matanuzi hasa kwa mademu zenu so mkimaliza chuo boom limekata mtaani hajira hakuna....mnaogopa tembeza mabeseni.....kupata chaneli lazima ujivuruge na kila mishe.....
Mmm mwenyew nimelipanda jana ful acView attachment 448948
Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Hakuna cha uelewa mdogo....mfanye kazi kwani kumaliza chuo mwaka jana ndo inakufanya husiingie mtaani nakuwa mchuuziiii?,tatizo la vijana wengi mkiwa chuo mnakuwa mabishoo watu wa matanuzi hasa kwa mademu zenu so mkimaliza chuo boom limekata mtaani hajira hakuna....mnaogopa tembeza mabeseni.....kupata chaneli lazima ujivuruge na kila mishe.....
Abood hana uhusiano na maisha halisi ya mtaani vijana wanajituma wasoma lkn ajira hakuna
izo gari zimeagizwa 12 tuu na pia na kuna shabiby tena ziliagizwa 12 nane zishatua bado nne ziko njianiNilifikiri upo kwenye Yard yake kumbe upo stand!
Haya safari njema
Wajinga wajinga ndio wanapiga kelele humu JF eti maisha magumu, mara ooh, biashara zimegoma, maisha magumu kwao sababu walizoea kuiba na kulipwa mishahara bila kufanya kazi. Walizoea kuingiza bidhaa bila kulipa kodi, walizoea pesa za dili. Sasa hivi ujanja ujanja hakuna tena.View attachment 448948
Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Hapana inshu ni kupambana 2Siku zote maisha magumu huanzia kwa wenye kipato kidogo.
Mkuu kwani lazima uajiliwe.....ww huogopi kuwa mtumwa wa mwajiri wako?
Umeshinda mkuu tuma salamu kwa watu wawiliizo gari zimeagizwa 12 tuu na pia na kuna shabiby tena ziliagizwa 12 nane zishatua bado nne ziko njiani
mwenzako amekuambia ziko 12 ujue anajua mengi