Safi , na ww umeingiza mangapi?
Message sentHakuna cha uelewa mdogo....mfanye kazi kwani kumaliza chuo mwaka jana ndo inakufanya husiingie mtaani nakuwa mchuuziiii?,tatizo la vijana wengi mkiwa chuo mnakuwa mabishoo watu wa matanuzi hasa kwa mademu zenu so mkimaliza chuo boom limekata mtaani hajira hakuna....mnaogopa tembeza mabeseni.....kupata chaneli lazima ujivuruge na kila mishe.....
Maisha magumu yapo kwenye akili yako jinsi unavyofikiri, hisia zako namna unavyoziongoza na jinsi unavyoamini.Siku zote maisha magumu huanzia kwa wenye kipato kidogo.
Wakati ameagiza Yutong 20 wewe umeagiza nini,Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Naona unajipinga. Soma sentensi zako ya pili na ya mwisho.Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Mimi nilifikiri kamjibu Dangote.Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Nilifikiri upo kwenye Yard yake kumbe upo stand!Acha umbea mimi nipo stendi ni 12.Sawa mkuu ?
Huyu jamaa vipi? Aboud yuko tangu miaka ya 90 huko ndo nilipo mjua na sijui kaanza lini..... na Dar moro alikuwa kaikamata tangu enzi ...... basi 20 kitu gani kwa hili gwiji la kusafirisha abiria.... hata angeleata 200 nisingeshangaa....Unamfananisha Abood na kijana alomaliza chuo mwaka jana,kweli?
wakati wewe unaogopa kukopa,wenzako wanakopa tu mabenki.
Amen RAMh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa