Amen RAHuu uzi ungekuwa unasema Abood kafilisika na magari yake yote kayapiga mnada uzi ungekuwa page ya 71
Lakini kaogeza gari imekuwa kama imewauma flani watu wanasema mitaani hamna hela huyu kapata wapi hizi hela za kununua hizo gari!
Vijana tunafanye kazi hizi hela wanazo miliki hawa wazee kama kina Abood, Mengi, Bahkresa tuzirudishe mikononi mwetu sisi vijana damu changa, tusikubali wao ndiyo wawe juu yetu, tuwanyangane kwa kufanya kazi na sisi tumiliki hizo mali
Hawa kina hood na abood utajiri wao wakurithishwa toka kizazi hadi kizazi,tangu nakuwa hawa kina hood walikuwa na biashara ya mabasi.Sio watu wakushindana nao hawa.Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Sijakuelewa mkuu umetumia lugha ya code unamaanisha nikajiunge kwenye Isl*** State? Maana nimejaribu kuunga dot na I'd yakoAmen RA
Uoga wako ndiyo umaskini wako!Hawa kina hood na abood utajiri wao wakurithishwa toka kizazi hadi kizazi,tangu nakuwa hawa kina hood walikuwa na biashara ya mabasi.Sio watu wakushindana nao hawa.
Ona coments za watu ndo utajua wengi ni wa aina gan?Huu uzi ungekuwa unasema Abood kafilisika na magari yake yote kayapiga mnada uzi ungekuwa page ya 71
Lakini kaogeza gari imekuwa kama imewauma flani watu wanasema mitaani hamna hela huyu kapata wapi hizi hela za kununua hizo gari!
Vijana tunafanye kazi hizi hela wanazo miliki hawa wazee kama kina Abood, Mengi, Bahkresa tuzirudishe mikononi mwetu sisi vijana damu changa, tusikubali wao ndiyo wawe juu yetu, tuwanyangane kwa kufanya kazi na sisi tumiliki hizo mali
Wewe una mabasi mangapi?Uoga wako ndiyo umaskini wako!
ISIS NI GODESS. .Sijakuelewa mkuu umetumia lugha ya code unamaanisha nikajiunge kwenye Isl*** State? Maana nimejaribu kuunga dot na I'd yako
Abood kashakula sana tokea awamu zilizopita kwaiyo watu wa kariba na hirimu yake hawawezi kukumbwa na ombwe la ugumu wa maisha unaolalamimiwa na walio wengiMh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Sio tu wakati kalala hapana ni wakati anakoroma wenzie wanaumiza kichwaWakati umelala wenzako wanatafakari
***Mkuu;
Nipe bank isiyo ogopwa kukopa, halafu usijitamkie tu maneno mkuu. Ni bank ipi inayo kopesha?? Nadhani una kitu unapokea kwao si bure
***
mengi ni ya mk opo / wakati h uo nilipokuwa najaribu kukopa yalikuwa 120ml./ ukiwa na 60 unakopeshwa under WA RRANT, UKIWA NA 120ML, UNAKOPESHWA LINGINE.
msilielie tembo na gari wanaisha, tunaingiza magari ya kichinaView attachment 448948
Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Angalia usije ukaja kukumbuka shuka kumekucha na huo ujana.Unamfananisha Abood na kijana alomaliza chuo mwaka jana,kweli?
Na Mashamba ya Bangi huko TarimeWewe una mabasi mangapi?
duuh we muongo hatare izo gar 120m duu..kila mtu si angekuwa nayo hyoo duh.***
mengi ni ya mk opo / wakati h uo nilipokuwa najaribu kukopa yalikuwa 120ml./ ukiwa na 60 unakopeshwa under WA RRANT, UKIWA NA 120ML, UNAKOPESHWA LINGINE.
Ajira hizi za madereva,makonda na tingo wao zina zengwe balaa ,na zina wapambe nuksi balaa,wao ni zaidi ya tajiriAjira hizo kwa makonda, madereva na utingo wao.