GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,656
- 109,056
Mleta mada ndio mkuu wa ma mbumbumbu. Sasa mchezaji Kama ameomba avunje mkataba, gharama za kauvunja uo mkataba si ziko juu yake. Lamine Alisha likoroga kwa kugombana na Kocha itabidi avumilie kukaa bench mbaka hasira za kocha zitakapo kwisha kwa Sasa Yanga kwenye nafasi ya Lamine wapo wachezaji wengi na ndio maana Yanga awana hofu juu yake.
Mchezaji wa Yanga akisimamishwa kwa utovu wa nidhamu anadai,wa mikia akisimamishwa akapimwe akili!lamine adai hata sumni kinachomuondoa lamine Yanga mahusiano yake na kocha sio mazuri na ndio maana kaomba kuvunja mkataba,ingekua anadai angetumia kipengele iko kuvunja mkatabaWewe Nyani nani aliyekudanganya kuhusu gharama za kuvunja Mkataba? Mkataba una vipengele ambavyo vikikiukwa au kutokutimizwa munaweza kukaa pamoja na kufikia makubaliano ya kuuvunja, akivunja mmoja pekeyake ndiyo anarudisha gharama.
Enewey! Kumuweka benchi Lamine Moro hakutafuta madeni yake anayowadai, Mlipeni.
Mchezaji wa Yanga akisimamishwa kwa utovu wa nidhamu anadai,wa mikia akisimamishwa akapimwe akili!lamine adai hata sumni kinachomuondoa lamine Yanga mahusiano yake na kocha sio mazuri na ndio maana kaomba kuvunja mkataba,ingekua anadai angetumia kipengele iko kuvunja mkataba
Yule ndio tushafukuza,hatunaga kupima akili mtuSasa Mchezaji anayewanyoshea Dole la Kati unadhani hapaswi kupimwa akili? Mwisho wa siku ndiyo hao wanaoishia kuwa kama Nyoso.
Hamna kitu mtamfanya maana lile dole mlistahili ndio maana mnaona ana akili timamu.Yule ndio tushafukuza,hatunaga kupima akili mtu
Jamaa tangu Liverpool ipepesuke umekuwa na hasira sana Aisee!Wewe Nyani nani aliyekudanganya kuhusu gharama za kuvunja Mkataba? Mkataba una vipengele ambavyo vikikiukwa au kutokutimizwa munaweza kukaa pamoja na kufikia makubaliano ya kuuvunja, akivunja mmoja pekeyake ndiyo anarudisha gharama.
Enewey! Kumuweka benchi Lamine Moro hakutafuta madeni yake anayowadai, Mlipeni.
.Hamna kitu mtamfanya maana lile dole mlistahili ndio maana mnaona ana akili timamu.
Mbona waandishi wa habari wengi wa TZ hawajalipwa Hadi miezi sita??Nimekuwa nikiandika hapa JamiiForums na kusema wazi wazi kuwa huko Yanga SC kuna 'Fukuto' Kubwa mno ila limefichwa na Siku 'likitumbuka' huenda Moto utawaka.
Nilishasema kuwa Yanga SC hasa kwa Wachezaji kuna 'Mpasuko' mkubwa na ambao pia ndiyo unachochea Utovu wao wa Nidhamu ambao umeathiri pia hadi 'perfomance' yao Uwanjani ila sikueleweka.
Huku Yanga SC kupitia Injinia Hersi Said wa GSM mpaka Mashabiki wa Yanga SC wakitamba ( wakijimwambafai ) kuwa Wamemsajili Beki wa AS Vita Djuma kwa Shilingi Bilioni Moja za Kitanzania Nahodha wao na Beki Mahiri ( Tegemezi ) Lamine Moro ameandika Barua ya Kuomba 'Kusitisha' Mkataba wake na Yanga SC kwa Kuchoshwa na Deni la Pesa zake za Usajili anazowadai na Kutompa Mshahara wa takribani Miezi Miwili.
Tukiwa tunawasemeni msiwe mnabisha.
Wewe Mgagaa na Upwa umfukuze nani pale Yanga, au na wewe tukakupime akili?Yule ndio tushafukuza,hatunaga kupima akili mtu
sio mshahara wa miezi 4 tu hata pesa za usajili hawakummalizia, wakati mtoto wake anaumwa aliwaomba pesa kidogo ili amtibie lakini hawakumpa mpaka mtoto kafariki leo wanakaa kumlaumu.Metacha anadai mshahara minne
Tujitahidi kuchangia bila kutukana mwenzio, ruhusu mawazo tofauti na ya kwako kwenye maisha yako. Ni kosakubwa kujiaminisha kuwa mawazo yako wewe ni msahafu ambao haupingwiWewe Nyani nani aliyekudanganya kuhusu gharama za kuvunja Mkataba? Mkataba una vipengele ambavyo vikikiukwa au kutokutimizwa munaweza kukaa pamoja na kufikia makubaliano ya kuuvunja, akivunja mmoja pekeyake ndiyo anarudisha gharama.
Enewey! Kumuweka benchi Lamine Moro hakutafuta madeni yake anayowadai, Mlipeni.
kwa sheria za fifa, alitakiwa awashtaki.umsio mshahara wa miezi 4 tu hata pesa za usajili hawakummalizia, wakati mtoto wake anaumwa aliwaomba pesa kidogo ili amtibie lakini hawakumpa mpaka mtoto kafariki leo wanakaa kumlaumu.
Bahati nzuri TFF imeweka wazi timu yenye madeni haitashiriki Ligi msimu ujao