Wakati wa taharuki makinika na kila taarifa

Sijawahi tembea na mwanamke bila CONDOM na sizani kama itatokea mpaka nakufa,.
Bado hujakutana na atakayeziosha kwenye kisosi na chicha la nazi halafu akuambie na kunku kidogo...
giphy.gif
 
Kama kuwakataa wabunge na kupokea ruzuku zao!

Ndimi mbili kama cobra.
ZABURI 137

Maombolezo juu ya maangamizi ya Yerusalemu
1 Kando ya mito ya Babeli ndiko tulikoketi,
Tukalia tulipoikumbuka Sayuni.
2Katika miti iliyo katikati yake
Tulivitundika vinubi vyetu.
3Maana huko waliotuchukua mateka
Walitaka tuwaimbie;
Na waliotuonea walitaka tuwatumbuize;
Tuimbieni baadhi ya nyimbo za Sayuni.
4Twawezaje kuimba wimbo wa BWANA
Katika nchi ya ugeni?
5Nikikusahau, Ee Yerusalemu,
Mkono wangu wa kulia na upooze.
6 Ulimi wangu na ugandamane
Na kaakaa la kinywa changu, nisipokukumbuka.
Nisipoikuza Yerusalemu
Zaidi ya furaha yangu iliyo kuu.
7 Ee BWANA, uwakumbuke wana wa Edomu,
Siku ile Yerusalemu ilipotekwa.
Kwa namna walivyosema, Bomoeni!
Bomoeni hata misingini!
8 Ee binti Babeli, uliye karibu na kuangamia,
Heri atakayekupatiliza, ulivyotupatiliza sisi.
9Heri yeye atakayewakamata wadogo wako,
Na kuwaseta wao juu ya mwamba.
 
Siku moja mmasai mmoja ambaye hakuwahi kuvaa chupi, alinunua moja na kuvaa huko huko mnadani alikoenda kufanya biashara yake ya kuuza ng'ombe. Baada ya hapo akala na kunywa kwa furaha na rafiki zake.

Ni wakati wa kurudi nyumbani akashikwa na haja kubwa hivyo akatafuta kichaka cha karibu na kushusha mzigo..kumaliza akaangalia mzigo wake alioshusha hauoni akatimua mbio kali sana mpaka kijijini na kusimulia watu.

Kila mtu aliongea lake kuanzia uchawi mpaka mizimu kuwa ndio walichukua kinyesi chake. Taharuki ilipomwisha akagundua kinyesi chake anacho makalioni kimemganda ndani ya chupi..kumbe wakati anajisaidia hakuvua chupi kwakuwa hayakuwa mazoea yake.

Taifa lolote linapopata taharuki ama sintofahamu yoyote ile basi kitengo huingilia kati tukio zima zima na kulichakachua ili kutoa nafasi taharuki ana sintofahamu husika kufanyiwa kazi bila bugudha.

Hapa kitengo lazima kipotoshe uhalisia, kichepushe mada, kitengeneze hadithi mpya, kitengeneze taharuki ama sintofahamu bandia ili wao wabaki njia kuu huku hadhira ikichepushwa machakani.

Hili si la kulaumu hata kidogo kwakuwa unapotokea mshindo sauti yake huenda mbali na taharuki huwa juu. Kinachoonekana ni vumbi nene na watu kukimbia huko na huko, hapo kila mtu huwaza lwake. Tathmini na kujua nini kilitokea hufanyika baada ya hali kutulia.

Ni katika kipindi hicho cha kukwepeshwa hadhira mambo huwekwa sawa
  • Magendo yaliyofanyika
  • Miamala ambayo haikupita njia kuu
  • Nyeti zilizofutikwa chini
  • Chenchi na salio kwenye kibubu
  • Wafaidikaji
  • Wapigaji
  • Wahuni
  • Madudu yaliyofanyika
Ni katika kipindi hiki hadhira ikiwa inaingizwa mikenge kwa nyepesi nyepesi za kila aina basi masahihisho na kuziba viraka vinavyowezekana kuziba hufanyika kwa haraka na kwa umakini mkubwa japo makosa hayakosekani daima.

Ni katika kipindi hicho cha taharuki na sintofahamu, kitengo huwaza na kupanga kabla ya wengine hakuna kulala ni mwendo wa kubadilishiwa santuri tu halafu tufani ikikoma wakiwa tayari wameshadhibiti mshindo. Kifuatacho ni KIMYA KIKUU SANA na sometimes cha KUOGOFYA!

Ni wakati hadhira inapozoea mshtuko wa kishindo ndio huja tangazo lililotazamiwa na wengi BABA FULANI NDIO KAZAA NA BINTI YAKE
Heee umeruka ruka weee lakini tumekuelewa kwa dhati.

Lazima muhakikishe usalama kwa wanaobaki wao na mali zao.
 
Siku moja mmasai mmoja ambaye hakuwahi kuvaa chupi, alinunua moja na kuvaa huko huko mnadani alikoenda kufanya biashara yake ya kuuza ng'ombe. Baada ya hapo akala na kunywa kwa furaha na rafiki zake.

Ni wakati wa kurudi nyumbani akashikwa na haja kubwa hivyo akatafuta kichaka cha karibu na kushusha mzigo..kumaliza akaangalia mzigo wake alioshusha hauoni akatimua mbio kali sana mpaka kijijini na kusimulia watu.

Kila mtu aliongea lake kuanzia uchawi mpaka mizimu kuwa ndio walichukua kinyesi chake. Taharuki ilipomwisha akagundua kinyesi chake anacho makalioni kimemganda ndani ya chupi..kumbe wakati anajisaidia hakuvua chupi kwakuwa hayakuwa mazoea yake.

Taifa lolote linapopata taharuki ama sintofahamu yoyote ile basi kitengo huingilia kati tukio zima zima na kulichakachua ili kutoa nafasi taharuki ana sintofahamu husika kufanyiwa kazi bila bugudha.

Hapa kitengo lazima kipotoshe uhalisia, kichepushe mada, kitengeneze hadithi mpya, kitengeneze taharuki ama sintofahamu bandia ili wao wabaki njia kuu huku hadhira ikichepushwa machakani.

Hili si la kulaumu hata kidogo kwakuwa unapotokea mshindo sauti yake huenda mbali na taharuki huwa juu. Kinachoonekana ni vumbi nene na watu kukimbia huko na huko, hapo kila mtu huwaza lwake. Tathmini na kujua nini kilitokea hufanyika baada ya hali kutulia.

Ni katika kipindi hicho cha kukwepeshwa hadhira mambo huwekwa sawa
  • Magendo yaliyofanyika
  • Miamala ambayo haikupita njia kuu
  • Nyeti zilizofutikwa chini
  • Chenchi na salio kwenye kibubu
  • Wafaidikaji
  • Wapigaji
  • Wahuni
  • Madudu yaliyofanyika
Ni katika kipindi hiki hadhira ikiwa inaingizwa mikenge kwa nyepesi nyepesi za kila aina basi masahihisho na kuziba viraka vinavyowezekana kuziba hufanyika kwa haraka na kwa umakini mkubwa japo makosa hayakosekani daima.

Ni katika kipindi hicho cha taharuki na sintofahamu, kitengo huwaza na kupanga kabla ya wengine hakuna kulala ni mwendo wa kubadilishiwa santuri tu halafu tufani ikikoma wakiwa tayari wameshadhibiti mshindo. Kifuatacho ni KIMYA KIKUU SANA na sometimes cha KUOGOFYA!

Ni wakati hadhira inapozoea mshtuko wa kishindo ndio huja tangazo lililotazamiwa na wengi BABA FULANI NDIO KAZAA NA BINTI YAKE
Popote ulipo mshana naomba kinywaji chochote bariiid nalipa kwa QR MASTER PASS umeongea kisomi sana.
 
Back
Top Bottom