Huu uzi unaeleweka kwa wenye afya ya akili tu
Na hawa kwenye kundi hili wamo?
Huu uzi unaeleweka kwa wenye afya ya akili tu
Nchi flani hivi ya kitofauti sana, idadi ya watu wake nayo si haba!
Sifa yake kuu ilikua upole, upendo na amani bila ukahaba!
Ghafla imekuwa nchi ya chuki, husda na kurushiana shaba
Mkatiko mkuu baina ya waume wake na wana
Na hatukujuana kwa makabila, rangu wala chama
tulipendana kwa kukosoana bilakutishana na kutolewa kwa dhamana
Miaka saba tunawindana kwa chuki na uhasama
Ee Mungu muumba wa hii dunia, usiliache taifa lako litie mwanga!!
Ukiona umepata fursa ya kukaa front jua hayupo.NIPO hapa Kanisan st Peter namsubir mkulu nione kama kweli na Leo atafika ibadani ama la!
Leo misa zote mbili nitakuwepo tena Kwenye mabenchi ya mbele kabisa huku nikiangaza macho upande ambayo mheshimiwa anakaa
Amka umsifu Bwanaa eeh IsraeliNchi flani hivi ya kitofauti sana, idadi ya watu wake nayo si haba!
Sifa yake kuu ilikua upole, upendo na amani bila ukahaba!
Ghafla imekuwa nchi ya chuki, husda na kurushiana shaba
Mkatiko mkuu baina ya waume wake na wana
Na hatukujuana kwa makabila, rangu wala chama
tulipendana kwa kukosoana bilakutishana na kutolewa kwa dhamana
Miaka saba tunawindana kwa chuki na uhasama
Ee Mungu muumba wa hii dunia, usiliache taifa lako litie mwanga!!
Ee Mungu muumba wa hii dunia, usiliache taifa lako litie mwanga!Nchi flani hivi ya kitofauti sana, idadi ya watu wake nayo si haba!
Sifa yake kuu ilikua upole, upendo na amani bila ukahaba!
Ghafla imekuwa nchi ya chuki, husda na kurushiana shaba
Mkatiko mkuu baina ya waume wake na wana
Na hatukujuana kwa makabila, rangu wala chama
tulipendana kwa kukosoana bilakutishana na kutolewa kwa dhamana
Miaka saba tunawindana kwa chuki na uhasama
Ee Mungu muumba wa hii dunia, usiliache taifa lako litie mwanga!!
Uganga wa kienyeji kwenye maswala ya kisomi unatuangamizaMiisho mingine hii tunaipalilia wenyewe.
Ukanunue kamba. Ukajitundike mwenyewe. Kisha tuseme mwisho umefika?
Hatimaye CAF katulazimisha kucheza mechi yao bila mashabiki. Kina Prof. Mchembe, Mgaya, Makube, Gwajima nk. Wapo tu wanaendelea kuhamasisha nyungu?
Aaah wapi!
Mpaka urudi tutakuwa tumemaliza!!Ngoja niingie ibadani kwanza!
Katika maisha yako yote epuka kitu kinaitwa haramu... Haramu haionjwi...haramu ni tamu...haramu huzaa karamu ya kushibisha tumbo na kuifurahisha nafsi.Kwa maneno ya Mwalimu (rip) nchi huendeshwa kwa kufuata katiba. Nchi si shamba la mtu au la kikundi cha watu.
Katika katiba kila kitu ni wazi. Nini cha kufanya katika hatua zote. Kwamba baba kazaa na binti yake?
Huyo hatufai katika familia wala jamii. Kwamba labda binti ni under 18? Huyo miaka 30 inamhusu. Kwa hilo hakuna kuremba!
Halipo vumbi la kusubiri litulie wala kwa mshindo kutulia.
Tujifunze sana umuhimu wa kufuata, kuzingatia na kuheshimu katiba. Mengineyo haya ni kujilisha upepo tu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Great thinker mkuu. Kuna watu wamenyea ardhi ya asali na nyama!!Nchi flani hivi ya kitofauti sana, idadi ya watu wake nayo si haba!
Sifa yake kuu ilikua upole, upendo na amani bila ukahaba!
Ghafla imekuwa nchi ya chuki, husda na kurushiana shaba
Mkatiko mkuu baina ya waume wake na wana
Na hatukujuana kwa makabila, rangu wala chama
tulipendana kwa kukosoana bilakutishana na kutolewa kwa dhamana
Miaka saba tunawindana kwa chuki na uhasama
Ee Mungu muumba wa hii dunia, usiliache taifa lako litie mwanga!!
Hayo maombi sijui muelekeo wake ni upi?Nchi flani hivi ya kitofauti sana, idadi ya watu wake nayo si haba!
Sifa yake kuu ilikua upole, upendo na amani bila ukahaba!
Ghafla imekuwa nchi ya chuki, husda na kurushiana shaba
Mkatiko mkuu baina ya waume wake na wana
Na hatukujuana kwa makabila, rangu wala chama
tulipendana kwa kukosoana bilakutishana na kutolewa kwa dhamana
Miaka saba tunawindana kwa chuki na uhasama
Ee Mungu muumba wa hii dunia, usiliache taifa lako litie mwanga!!
Honestly, you ought to change your JF signature!Mimi bado niko busy
The great pond of wagaba.... The sun is going down to Chiolu though!
Inakupasa kutubu kila ulalapo na kumshukuru Mungu kila uamkapo!Ukatubu sana kwa roho na kweli
Ukafanye kitubio cha unafique
Ukafanye kitubio cha uzushi
Ukafanye kitubio cha uongo
Ukafanye kitubio cha chuki