Dodoma Demand
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 130
- 74
Wakati wa kuandika WOSIA wa marehemu ni ruksa kuweka kipengele cha MALI ili kujua financial status za marehemu!? Mathalani
Marehemu alikuwa anamiliki: MAGOROFA YA HOTELI 7
MAGARI 6 aina ya BENZI
NYUMBA ZA KUPANGA 100
DAlADAlA 1000
BARABARA ZA JUU (PRIVATE FLY OVER 7)
Na Mengineyo
Lengo ni kuhakikisha kila mwanadamu hapotezi muda akiwa HAI na unakuwa mfano kwa wengine waliobaki katika hii dunia badala ya marehemu kafia HOSPITALI, kaacha watoto 35 na wajane 6.
Dedication kwa (mtanzamo wa ASIYEMILIKI mali ndio MWAMBA katika maisha - MAFANO WA KUINGWA KWENYE JAMII)
Marehemu alikuwa anamiliki: MAGOROFA YA HOTELI 7
MAGARI 6 aina ya BENZI
NYUMBA ZA KUPANGA 100
DAlADAlA 1000
BARABARA ZA JUU (PRIVATE FLY OVER 7)
Na Mengineyo
Lengo ni kuhakikisha kila mwanadamu hapotezi muda akiwa HAI na unakuwa mfano kwa wengine waliobaki katika hii dunia badala ya marehemu kafia HOSPITALI, kaacha watoto 35 na wajane 6.
Dedication kwa (mtanzamo wa ASIYEMILIKI mali ndio MWAMBA katika maisha - MAFANO WA KUINGWA KWENYE JAMII)