Mia saba
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 255
- 389
Vipi mkuu ulipitia mso
to baada ya kutoka chuo.
Tujuze
wakuu mliopitia chuo na kukosa ajira nawafatilia sana....niseme tu naenda kuitimu na sina mwelekeo nikisoma hii misoto ya watu naona kabisa naingia uko uko ukizingatia nina kaboom tu na ndo nalipia ada na kula na kufanya mengineyo....kujichanga apa kwa kupitia aka kaboom inakua ngumu...inafika maaali unawaza nn kitafata baada ya apa ila mda mwingine unaamua kumwachia Mungu na kuamua kudeal kwanza na kusoma nisije kosa vyote then mengine yatafata baada ya kumaliza.....kwa jinsi nilivyopitia hii thread najiona kabisa sijapitia msoto wowote japo kidogo nimepitia....shusheni nondo tu wakuu tuendelee kujifunza kupitia kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
to baada ya kutoka chuo.
Tujuze