MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,481
uta ni tagBaada ya kusoma comments za wadau nikipata muda nitadrop a true story about my jobless life since 2020 nikiwa chuo pale UCC
Based on a true story kuanzia maisha yangu ya chuo, maisha yangu ya forex na msoto niliopitia baada ya kufilisika kwenye forex mpaka nikaingia site nakujifunza ufundi, kubeba zege, kubeba tofali, na saidia fundi mpaka sasa mm ni mason japo sina uzoefu mkubwa...
In general afya ndio mtaji wa kwanza wa mwanadamu, fanya vyote ila usisahau kuilinda afya yako