Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

Hahah mkuu kwanini hupendi kazi ya ualimu?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Pole sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana mkuu napenda sana watu kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ya kudharauliwa ilinikuta baada ya kumaliza mwaka na ushee bila kazi toka nimalize chuo. Usiombe yakukute,ni machungu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…