Sasa watanzania wanajua rangi halisi ya kiongozi wao. Dhamira halisi ya kiongozi wao na utashi halisi wa kiongozi wao. Yako maswali mengi ya kujiuliza, leo tutafakari maswali mawili tu.
Swali:
1. Je ile agenda ya kupinga ufisadi na rushwa bado kipaumbele chake au imekufa kama agenda ya viwanda ilivyozikwa kimya kimya?
2. Kama amewaza kula, kunywa na kufanya kazi na hii team ya EL, RA na mtemi kwa miaka karibu 20 akiwa waziri atashindwa kufanya nao kazi huu mwaka 1 au miaka 6 iliyobaki?
Swali:
1. Je ile agenda ya kupinga ufisadi na rushwa bado kipaumbele chake au imekufa kama agenda ya viwanda ilivyozikwa kimya kimya?
2. Kama amewaza kula, kunywa na kufanya kazi na hii team ya EL, RA na mtemi kwa miaka karibu 20 akiwa waziri atashindwa kufanya nao kazi huu mwaka 1 au miaka 6 iliyobaki?