Wakati tunawalaani na kuwaonyeshea kidole Mashoga, Vipi kuhusu wala mashoga? Jamii hatuoni kama kuna hoja ya msingi ya kujadili hapo?

Miyeyusho

Member
Aug 14, 2020
24
36
Habari za muda huu wana jamvi?
Nimejaribu kuangalia kwa makini sana juu ya jambo hili la ushoga linavyoleta vuta ni kuvute katika ulimwengu. Nimejaribu kuangalia pande zote, za watetezi na wapingaji wa jambo hili.

Jambo limeleta mivutano mikubwa sana haswa kwa nnchi zetu za africa. Naona kuna wanaolitaka na wanaolipinga. Pia nimeshangaa zaidi adi hapa kwetu jamii kubwa wanalipinga hili ila wapo wanaolikingia kifua japo sio wengi ila wapo.

Sasa kitu ambacho bado ninamaswali zaidi juu ya jambo hili ni kwamba wengi wanaolizungumzia wanazingumzia kwa Shoga mwenyewe, ila hawagusii kabisa kuhusu "Wala Kiboga". Wakati tunatupilia laana juu ya mashoga basi vyema zaidi kuwatupilia laana na wala kiboga pia.

Najaribu kuwaza ni watu wa aina gani, panapokua na wimbi kubwa la mashoga basi naamini wala mashoga watakua mara mbili yake. Na nimepokea visa vingi sana vya mashoga kufundishwa mchezo huu na hao watu wakiwa zaidi kwenye lika la la utoto.

Kwa wale mashoga wanajaribu kusema labda ni homon na majmbile ya mtu, vipi kuhusu wala kiboga?kuna mwanaume anayezaliwa na homon za kutamani kula kiboga?inauzunisha kwakweli.

Naamini kama hii vita itaanzia kwa wala kiboga na kuhakikisha kabisa nnchi haina wala kiboga ata mmoja, si wakulazimishwa wala wakupenda kula kiboga basi mm naamini ushoga utakoma. Na utakosa soko kabisa. Mwishowe utaisha.
 
Naunga mkono hoja, tena naongezea kwa nini hatuwakemei wapenda tigo za akina dada zetu??
 
Tumechoshwa na habari za ushoga.
Hakika mkuu, Thread nyingi humu jukwaani zimekuwa zinazungumzia ushoga, tunawapa sana airtime hawa machoko nadhani ni wakati sasa wa kuacha kuwazungumzia kwasababu tutakuwa hatulitokomezi tatizo....NI MAONI YANGU
 
Mimi Mjumbe
20230328_183049.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Leo benchi la timu ya Tanzania Lina vazi la kipekee nyeusi chini juu rangi inaelewekaa
 
Mashoga wapo wa aina nne.
1. Wanaoliwa tuu (28%) MACHOKO
2. Wanaokula na kuliwa (56%) MICHICHA MWIBA
3. Wanaokula tuu (14%) MABASHA.
4. Mashoga mfu (2%) WATAZAMAJI

Kwa hizo data tatizo kubwa la ushoga lipo baina ya mashoga wenyewe. Hiyo 14% ya mabasha ni influence kibwa ya wamagharibi na hao kwa asilimia kubwa walianza kuwafira wanawake. 2% ni wale ambao sio mashoga wala mabasha ila wanapenda sana mambo ya kishoga kwa kufatilia na kuubali ushoga kwa reasons mbali mbali ikiwemo labda ajira, misaada au sapoti kutoka kwa wanaopromote ushoga.

85% ya mashoga ni tatizo la kijamii hususani kipenda maisha vitonga na kufata mikumbo ya kifala. 15% ni tatizo la kibailojia ambalo ni pandikizi kutoka kwa wanaoinjinia ikiwemo madawa ya kuharibu hormons za kiume.

ILA MASHOGA BADO MPO SALAMA MSIHOFU
 
Mwanaume kwanini ukunjwe na mwenzio huoni unejilegeza sana kwanini tusikuandame wewe uyo basha yupo sababu anakujunja wewe komaa jikaze
 
Back
Top Bottom