comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,223
- 5,946
NIT-PICKER-wingi haumaanishi wote.Hivi punde Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa huku wanawake wakiwa wachche mno ktk uteuzi huo.
Akilihutubia Bunge kasema atawateua wanawake kwa wingi ktk teuzi zake. Mbona imekuwa kinyume?
Je hakuna wanawake wenye uwezo wa kuongoza mikoa au kashauriwa tofauti na watu wenye umfumo dume?
Ngoja tusubiri Ma DED, DC, Makatibu Tawala, Mabalozi nk. Vingnevyo wanawake wapoteze tumaini.