Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
- Thread starter
- #21
Nimeanza kuamini. Mtu anaahidi, aliwekewa Kati na wenye chama anasahau ahadiCCM ina wenyewe...
Nimeanza kuamini. Mtu anaahidi, aliwekewa Kati na wenye chama anasahau ahadiCCM ina wenyewe...
Mama kaikana kauli yake ya Bungeni waziwaziKwa kweli ni Jambo la kusikitisha Ina maana nchi hii Haina wanawake wenye uwezo? Tuna vyuo vikuu vingi Sana vyenye kina mama wenye uwezo.Tatizo kubwa Ni mfumo wetu wa vetting.Ifike mahali rais aweke ngumu akiletewa kwenye meza yake uteuzi usiozingatia gender Ballance asipitishe
Wanawake wenye vigezo kawakosa?Alisema pia, vigezo kuzingatiwa...
Mimi Niko hapa napitia documentary "millennium generation", huko china,in fact Tz tunastahili viboko,we are drugging downward,kila jitu nilibinafsi,ukienda Benki majitu yanajivuta,hebu tubadilike,tufanye kazi,huyo mama tumuache sisi kazi yetu iwe kuongeza output kwa kila eneeo letuhamna kitu hapo... huyu mma bado kabisa
Anakumbushwa ahadiMimi Niko hapa napitia documentary "millennium generation", huko china,in fact Tz tunastahili viboko,we are drugging downward,kila jitu nilibinafsi,ukienda Benki majitu yanajivuta,hebu tubadilike,tufanye kazi,huyo mama tumuache sisi kazi yetu iwe kuongeza output kwa kila eneeo letu
Ninachofahamu mimi ni kuwa wingi unaanzia mbili, tatu, nne na kuendelea.Wakati Rais akilihutubia Bunge alisema kuwateua wanawake kwa wingi ktk teuzi zake, mbona kateua Ma-RC wanawake wachache?
Wewe huoni Rwanda walivyoendelea?Tanzania tumelaaniwa, yaani maendeleo yatakuja kwa usawa wa kijinsia na dini? badala ya uwezo wa mtu?
Hapana, ilbidi ktk mikoa 26 ya Tanzania bara, walau wanawake 10 Ma RC.Ninachofahamu mimi ni kuwa wingi unaanzia mbili, tatu, nne na kuendelea.
Wana nini?Wewe huoni Rwanda walivyoendelea?
Daaa! Mungu amsaidie mama yetu kwa kweli.Nimeanza kuamini. Mtu anaahidi, aliwekewa Kati na wenye chama anasahau ahadi
Mkuu Freed Freed , asante kwa hii.Hivi punde Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa huku wanawake wakiwa wachche mno ktk uteuzi huo.
Akilihutubia Bunge kasema atawateua wanawake kwa wingi ktk teuzi zake. Mbona imekuwa kinyume?
Je hakuna wanawake wenye uwezo wa kuongoza mikoa au kashauriwa tofauti na watu wenye umfumo dume?
Ngoja tusubiri Ma DED, DC, Makatibu Tawala, Mabalozi nk. Vingnevyo wanawake wapoteze tumaini.
Pascal Mayalla pamoja Sana Nguli wa JF. Mama aishi ahadi yake mbele chombo nyeti. Ahadi ni deni.Mkuu Freed Freed , asante kwa hii.
P
Haiwezekani kukosa wanawake 10 ngazi ya RC ktk watu million 60 ambao wengi wao wanawake.Kama yeye anaona jinsia yake hawafai au hawana uwezo nawashangaa nyinyi mnaeona yeye anatosha kutuongoza
Naunga mkono hoja. Japo nilisisitiza, kwa vile hatukumpangia JPM, tusimpangie mama, ila hakuna ubaya kumkumbusha from time to time. Mimi naamini ule uteuzi wa ma RC, ile ni lineup ya JPM with few changes from Mama. Haiwezekani kati ya ma RC 26, wanawake ni 6 tuu!. Angevuta vuta angalau 10.Pascal Mayalla pamoja Sana Nguli wa JF. Mama aishi ahadi yake mbele chombo nyeti. Ahadi ni deni.