Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Mkuu hata nikimtaja kwani wanamfahamu?Huwa unasema chanzo ni barafu ili credit ziende kwake au?
Maana hata Jf wanaisikia tu...Japo pale inapobidi huwa nafungua nyuzi za mkuu barafu na kuwaonyesha kama "reference"
Ha ha ha ha ha hutaki nikombe ujiko?