kwaiyo kama lipo for thoisand yrs wanaubiri lianguke ndio wahame bila kuanguka hawahami etHilo jiwe liko hapo hivyo for thousands of years, anaejitafutia matatizo ni yule anaevuta sigara ikiwa imeandikwa ni hatari kwa afya yake
Mwanza hii chiefSingida Hapo napajua likitokea tetemeko atakoma.
Likitokea la kutokea mawe ndio mgovi maana nyumba kajikalia zake chini, sidhani kama nyumba anaweza mfata mawe kule juuView attachment 1693891
Hivi kati ya mawe na nyumba nani alimfata mwenzake?
hv likitokea la kutokea tutasema ni bahati mbaya?
duh🙄
Hapo jamaa anataka sifa.Ukipiga picha jiwe hutoacha nyumba yake.Ni sifa.View attachment 1693891
Hivi kati ya mawe na nyumba nani alimfata mwenzake?
hv likitokea la kutokea tutasema ni bahati mbaya?
duh🙄