At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Hope mna do poa.
Recently nilikuwa nasikiliza DW KISWAHILI ilikuwa ijumaa mchana.
Nilisikia kuhusu Safaricom kwa kushirikiana na Huawei na Nokia wanampango wa kuanzisha 5G kwa miji mikubwa Kenya.
Pia wakasema Africa kutakuwa na miji 27 au 7 ambayo itakuwa connected na hii technologia ya 5G. Zikiwemo miji ya Kenya, South Africa na Nigeria.
Nikakumbuka Tanzania yangu nasikitika.
Je ewe mdau wa Jamii Forum una maoni gani juu ya hili.?
Je Kenya au Safaricom kuhusu mpango huu wamewahi au ni kawaida.
Na je Tanzania na sisi iko haja ya kuwa na 5G au tungoje kwanza.
Karibu kwa maoni.
For Clarification tutaeleweshana.
At Calvary
Recently nilikuwa nasikiliza DW KISWAHILI ilikuwa ijumaa mchana.
Nilisikia kuhusu Safaricom kwa kushirikiana na Huawei na Nokia wanampango wa kuanzisha 5G kwa miji mikubwa Kenya.
Pia wakasema Africa kutakuwa na miji 27 au 7 ambayo itakuwa connected na hii technologia ya 5G. Zikiwemo miji ya Kenya, South Africa na Nigeria.
Nikakumbuka Tanzania yangu nasikitika.
Je ewe mdau wa Jamii Forum una maoni gani juu ya hili.?
Je Kenya au Safaricom kuhusu mpango huu wamewahi au ni kawaida.
Na je Tanzania na sisi iko haja ya kuwa na 5G au tungoje kwanza.
Karibu kwa maoni.
For Clarification tutaeleweshana.
At Calvary