Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,277
- 34,273
Haya mambo yanatia hasira sana, yani waziri na tai yake anasimama bungeni anasema watanzania tumeshindwa kusimamia bandari mizigo inakaa muda mrefu hivyo tuwape bandari watu wa nje waisimamie!
Hivi India na Urusi wangekua na akili kama hizi wangekaa warushe roketi kwenda mwezini?
Hivi India na Urusi wangekua na akili kama hizi wangekaa warushe roketi kwenda mwezini?