WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Nakumbuka Dokta Remmy Ongara aliwahi kuimba:
"Mwanzo wa mapenzi ni tamu kama chungwa, katikati ni kama ndimu, mwisho wa mapenzi ni chungu kama shubiri"
Relationships nyingi ziwe ni ndoa au uchumba/galfriend-boyfriend kweli ukizichunguza utaona zinapitia vipindi hivyo.Kuna zinazotoka from chungwa straight to shubiri na zipo zile ambazo huji transform polepole kutoka chungwa kwenda ndimu na hatimaye shubiri au kubakia hapo hapo kwenye ndimu bila kwenda kwenye shubiri.
Je ni lazima kubadilika kutoka hali moja kwenda nyingi kwa namna ya kudumu? au je inawezekana kubakia kwenye chungwa muda wote.Ofcourse kuna migongano ya hapa na pale na hiyo ni ya kawaida.
naomba maoni yenu.
"Mwanzo wa mapenzi ni tamu kama chungwa, katikati ni kama ndimu, mwisho wa mapenzi ni chungu kama shubiri"
Relationships nyingi ziwe ni ndoa au uchumba/galfriend-boyfriend kweli ukizichunguza utaona zinapitia vipindi hivyo.Kuna zinazotoka from chungwa straight to shubiri na zipo zile ambazo huji transform polepole kutoka chungwa kwenda ndimu na hatimaye shubiri au kubakia hapo hapo kwenye ndimu bila kwenda kwenye shubiri.
Je ni lazima kubadilika kutoka hali moja kwenda nyingi kwa namna ya kudumu? au je inawezekana kubakia kwenye chungwa muda wote.Ofcourse kuna migongano ya hapa na pale na hiyo ni ya kawaida.
naomba maoni yenu.