Mapungufu ya Dini za Wakoloni

DR.MBWEMBWE

Member
Nov 27, 2012
19
20
KAMA ULIKALILI TU MAANDIKO KAA PEMBENI HAUKUHUSU

Kama mafundisho ya Dini yanatuambia kuwa Mungu ananijua kabla hata sijazaliwa, maana yake anajua kila kitu ninachofanya na hadi nitakacho fanya baadae (kwa future)

(A) Maana yake mimi siwezi kwenda kinyume na anachokijua Mungu, sasa hii kauli ya kusema nimetenda kinyume na mapenzi au mpango wake inatokea wapi? Kwani kabla sijatenda je alijua kama nitatenda kinyume na mapenzi au mipango yake? (NDIYO/HAPANA) k

(B) Kama alijua kabla sijazaliwa kuwa nitatenda kinyume na mapenzi yake sasa kwanini kama nikitenda kinyume na mapenzi au mipango yake anachukia? Na kama hakujua kama nitatenda kinyume basi je kwanini anaitwa Mungu mjua vyote?

Swali jingine
(C) Je, kuna mtu anaweza kubadilisha mapenzi au mipango ya Mungu? (NDIYO/HAPANA)

kama ni jibu ni NDIYO kipengele C litazaa swali hili

(D) Je, huyo Mungu ambaye anakujua kabla hujazaliwa je alijua before kuwa utakuja kubadili mapenzi au mipango yake? (NDIYO/HAPANA)

Kama jibu ni HAPANA kipengele C basi huyo Mungu hastahili kupewa sifa ya mjua vyote.(Omniscient)

Kama jibu ni NDIYO kipengele D. Maana yake ni kwamba bado hujabadili alichokuwa anajua. Sasa kama huwezi je kwanini unapoteza muda kumuomba akusaidie kutatua matatizo yako? Maana hata ukiomba na kulia kwa machozi ya damu hawezi kubadili mpango wake juu yako.

Kama jibu ni HAPANA kipengele D. Maanake huyo Mungu hakujua kuwa utabadili mipango yake.

Huyu Mungu wa kwenye Hivi Vitabu hii sifa ya kuwa yeye ni mjua yote, hapana sio mjua yote, hata maandiko ya hivyo vitabu yanadhihirisha kuwa yeye si mjua yote.

Mjua yote hawezi kuwa na hasira maana hasira inakuja pale unapopata au kufanyiwa kitu ambacho hukutarajia, hukujua.

Sasa cha kushangaza hadithi za hivyo vitabu vinadhihirisha kuwa huyo Mungu kuna wakati alipatwa na hasira, ghadhabu, hata kukata tamaa.

Rejea
Kutoka 32:10
Mwanzo 6:6
Ukihitaji rejea nyingine nifahamishe.

AMKENI MJITAMBUE
IMEANDALIWA NA FRANK A. CHALE
 
Omniscience is incomprehensible.

Ujuzi wa vyote ni kitu kisichowezekana, bora hata ujuzi wake ungekuwa wa maarifa ya kidunia tu, ila upo temporal(anajua yajayo) ni hadithi kwa kweli.
 
Imani na dini zinahusisha uhuru wa mtu binafsi kuchagua na kufuata imani yake. Ikiwa Mungu anatamani kueneza imani yake, anaweza kuwatumia watu wengine kama njia ya kufikisha ujumbe wake.

Ni muhimu pia kuzingatia kwamba dini zilikuwa zinaenea ulimwenguni kote kupitia njia mbalimbali, ikiwa ni pamoja na biashara, utamaduni, na mawasiliano ya kibinadamu. Kwa hiyo, mchakato wa kueneza dini ulikuwa ni wa kimataifa na wa kubadilishana.

Hatimaye, ni suala la mtazamo wa kibinadamu na uhuru wa kuchagua kuamini au kutofautiana na dini fulani. Kila mtu ana uhuru wa kufuata imani yake na kuchagua jinsi anavyotaka kuitafsiri.
Ni uhuru wa binadamu pia kukashifu kila anachokiona hakina mantiki.

Yahweh anasema aliumba binadamu wote. Hivyo binadamu wote wanapaswa kumuabudu.

Lakini dini ya ukristo ilifika Tanzania maelfu ya miaka baada ya kuanza kwake. Na sio kwa nia nzuri.

Pia kama dini yake ndo ya kweli mbona anaruhusu watu kuabudu miungu mingine mf Allah?

Ni maswali yanayopaswa kujibiwa.
 
Pre-determinism ni mojawapo ya mambo pasua kichwa kabisa kuyaelewa na kuyapatia majibu kwa kutumia mantiki ya kawaida.

Mhubiri mmoja mashuhuri sana na msomi kweli kweli wa Thiolojia aliwahi kuulizwa kwamba itakuwaje kama Yesu Akirudi halafu akute watu ambao hawajawahi kusikia Injili yake. Je watu hao ambao hawajawahi kusikia habari zake watakwenda motoni au mbinguni?

Alisema kwamba watu hao watakwenda motoni maana kwenda mbinguni ni lazima kumpokea Yesu kama Bwana na Mwokozi. Lakini pia akapendekeza kwamba baadhi yao wanaweza kwenda mbinguni kwa sababu Mungu Anajua ni wapi kati yao wangempokea Yesu hata kama ingetokea wakahubiriwa; na kwamba hili Mungu Analijua na Alilijua hata kabla hao watu hawajazaliwa. Yaani Mungu Ali/najua watu ambao watakwenda mbinguni na ambao watakwenda motoni hata kabla watu hao hawajazaliwa!

Swali likaja kwamba: Je inawezekana mtu aliyekuwa predetermined kwenda motoni akapambana mpaka kubadilisha fate yake ya kwenda motoni na hatimaye kuishia mbinguni?

Niishie hapa maana maana huwa nikifikiria haya mambo kichwa huwa kinaishia kupata moto. Na mimi huwa nakiri kwamba kuna mambo kumhusu Mungu Ambayo sitakaa niyajue kamwe! Na kusema kweli nisingependa kumwabudu Mungu Ambaye najua kila kitu kumhusu 🙏🏿
 
Indeed, the concept of omniscience, which refers to having complete and unlimited knowledge, is often considered incomprehensible to human beings. It is a notion associated with certain religious or philosophical beliefs, particularly those that involve a supreme being or a divine entity.

The idea of omniscience suggests that this being possesses knowledge of all things, including past, present, and future events, as well as knowledge of all thoughts, intentions, and possibilities. From a human perspective, it can be challenging to grasp such a vast and all-encompassing understanding.

Omniscience is often attributed to a deity, such as God, in various religious traditions. It is seen as a characteristic that reflects the divine's unlimited wisdom, understanding, and awareness. However, the exact nature and extent of omniscience can vary among different religious beliefs and philosophical interpretations.

While the concept of omniscience may be difficult for humans to fully comprehend, it serves as a foundation for understanding certain religious doctrines and worldviews. It is often considered a divine attribute that sets a supreme being apart from humans and underscores the idea of a higher power possessing a level of knowledge that surpasses human limitations.
Sasa kwanini mungu aghadhibike kwa kile ambacho anakijua?

Ni kwamba mungu ni mhusika wa kufikirika. Ametungwa na binadamu.

Na akapewa hizo sifa za kiungu, ili watu wamtumie kujibu maswali yasiyo na majibu.

Lakini kimantiki, miungu ni vitu vya kipuuzi mno.

Ni bora kukubali kuna maswali hayana majibu, kuliko kuamini yanajibiwa na kiumbe kisicho na mantiki.
 
Mhubiri mmoja mashuhuri sana na msomi kweli kweli wa Thiolojia aliwahi kuulizwa kwamba itakuwaje kama Yesu Akirudi halafu akute watu ambao hawajawahi kusikia Injili yake. Je watu hao ambao hawajawahi kusikia habari zake watakwenda motoni au mbinguni?
Kama wale Bushmen wa The Gods must be crazy
 
Ni muhimu pia kuzingatia kwamba dini zilikuwa zinaenea ulimwenguni kote kupitia njia mbalimbali, ikiwa ni pamoja na biashara, utamaduni, na mawasiliano ya kibinadamu. Kwa hiyo, mchakato wa kueneza dini ulikuwa ni wa kimataifa na wa kubadilishana.
Mkicheka chekeni kwa uangalifu kuna wachungaji humu

IMG-20240208-WA0002.jpg
 
KAMA ULIKALILI TU MAANDIKO KAA PEMBENI HAUKUHUSU

Kama mafundisho ya Dini yanatuambia kuwa Mungu ananijua kabla hata sijazaliwa, maana yake anajua kila kitu ninachofanya na hadi nitakacho fanya baadae (kwa future)

(A) Maana yake mimi siwezi kwenda kinyume na anachokijua Mungu, sasa hii kauli ya kusema nimetenda kinyume na mapenzi au mpango wake inatokea wapi? Kwani kabla sijatenda je alijua kama nitatenda kinyume na mapenzi au mipango yake? (NDIYO/HAPANA) k

(B) Kama alijua kabla sijazaliwa kuwa nitatenda kinyume na mapenzi yake sasa kwanini kama nikitenda kinyume na mapenzi au mipango yake anachukia? Na kama hakujua kama nitatenda kinyume basi je kwanini anaitwa Mungu mjua vyote?

Swali jingine
(C) Je, kuna mtu anaweza kubadilisha mapenzi au mipango ya Mungu? (NDIYO/HAPANA)

kama ni jibu ni NDIYO kipengele C litazaa swali hili

(D) Je, huyo Mungu ambaye anakujua kabla hujazaliwa je alijua before kuwa utakuja kubadili mapenzi au mipango yake? (NDIYO/HAPANA)

Kama jibu ni HAPANA kipengele C basi huyo Mungu hastahili kupewa sifa ya mjua vyote.(Omniscient)

Kama jibu ni NDIYO kipengele D. Maana yake ni kwamba bado hujabadili alichokuwa anajua. Sasa kama huwezi je kwanini unapoteza muda kumuomba akusaidie kutatua matatizo yako? Maana hata ukiomba na kulia kwa machozi ya damu hawezi kubadili mpango wake juu yako.

Kama jibu ni HAPANA kipengele D. Maanake huyo Mungu hakujua kuwa utabadili mipango yake.

Huyu Mungu wa kwenye Hivi Vitabu hii sifa ya kuwa yeye ni mjua yote, hapana sio mjua yote, hata maandiko ya hivyo vitabu yanadhihirisha kuwa yeye si mjua yote.

Mjua yote hawezi kuwa na hasira maana hasira inakuja pale unapopata au kufanyiwa kitu ambacho hukutarajia, hukujua.

Sasa cha kushangaza hadithi za hivyo vitabu vinadhihirisha kuwa huyo Mungu kuna wakati alipatwa na hasira, ghadhabu, hata kukata tamaa.

Rejea
Kutoka 32:10
Mwanzo 6:6
Ukihitaji rejea nyingine nifahamishe.

AMKENI MJITAMBUE
IMEANDALIWA NA FRANK A. CHALE
Kuelewa unachouliza unatakiwa ufanye summary ya mambo mawili

-mwenyez mungu anajua Kila kitu
-Binadamu ana free will.

Ukiweza kufanya hizo statment mbili ku Co-exist basi utakua umeshapata jibu la maswali yote ya juu.

Na ili uweze kuzifanya hizo statement ku Co-exist pamoja chukulia mfano wa computer ama game.

Developer anatengeneza Program ya computer anaweka maelfu ya features, Developer anajua features zote, wewe unatumia hio program una free will kuchagua feature yoyote ile ila hakuna feature hata moja ambayo utachagua ambayo developer haijui.

Mwenyez Mungu alitengeneza Dunia way before hata Binadamu wa kwanza hajakuja, Kila kitu kimeandikwa, wewe una free will kufuata ambavyo mwenyez Mungu ameweka, ila ni will yako inayoamua kufuata vitu vizuri vilivyowekwa na Mwenyez Mungu ama kufuata vitu vibaya.
 
Ko
Pre-determinism ni mojawapo ya mambo pasua kichwa kabisa kuyaelewa na kuyapatia majibu kwa kutumia mantiki ya kawaida.

Mhubiri mmoja mashuhuri sana na msomi kweli kweli wa Thiolojia aliwahi kuulizwa kwamba itakuwaje kama Yesu Akirudi halafu akute watu ambao hawajawahi kusikia Injili yake. Je watu hao ambao hawajawahi kusikia habari zake watakwenda motoni au mbinguni?

Alisema kwamba watu hao watakwenda motoni maana kwenda mbinguni ni lazima kumpokea Yesu kama Bwana na Mwokozi. Lakini pia akapendekeza kwamba baadhi yao wanaweza kwenda mbinguni kwa sababu Mungu Anajua ni wapi kati yao wangempokea Yesu hata kama ingetokea wakahubiriwa; na kwamba hili Mungu Analijua na Alilijua hata kabla hao watu hawajazaliwa. Yaani Mungu Ali/najua watu ambao watakwenda mbinguni na ambao watakwenda motoni hata kabla watu hao hawajazaliwa!

Swali likaja kwamba: Je inawezekana mtu aliyekuwa predetermined kwenda motoni akapambana mpaka kubadilisha fate yake ya kwenda motoni na hatimaye kuishia mbinguni?

Niishie hapa maana maana huwa nikifikiria haya mambo kichwa huwa kinaishia kupata moto. Na mimi huwa nakiri kwamba kuna mambo kumhusu Mungu Ambayo sitakaa niyajue kamwe! Na kusema kweli nisingependa kumwabudu Mungu Ambaye najua kila kitu kumhusu 🙏🏿
Ko unataka umwabudu Mungu usiyemjua. Kwani usipoabudu unapungukiwa nini? Au unaogopa moto
 
Kuelewa unachouliza unatakiwa ufanye summary ya mambo mawili

-mwenyez mungu anajua Kila kitu
-Binadamu ana free will.

Ukiweza kufanya hizo statment mbili ku Co-exist basi utakua umeshapata jibu la maswali yote ya juu.

Na ili uweze kuzifanya hizo statement ku Co-exist pamoja chukulia mfano wa computer ama game.

Developer anatengeneza Program ya computer anaweka maelfu ya features, Developer anajua features zote, wewe unatumia hio program una free will kuchagua feature yoyote ile ila hakuna feature hata moja ambayo utachagua ambayo developer haijui.

Mwenyez Mungu alitengeneza Dunia way before hata Binadamu wa kwanza hajakuja, Kila kitu kimeandikwa, wewe una free will kufuata ambavyo mwenyez Mungu ameweka, ila ni will yako inayoamua kufuata vitu vizuri vilivyowekwa na Mwenyez Mungu ama kufuata vitu vibaya.
Hapo katika hiyo Freewill, linazaliwa swali jingine tata, kama amenipa uhuru wa Kuchagua, vipi je kabla sijachagua Mungu anajua nitachagua nini?
 
Kuelewa unachouliza unatakiwa ufanye summary ya mambo mawili

-mwenyez mungu anajua Kila kitu
-Binadamu ana free will.

Ukiweza kufanya hizo statment mbili ku Co-exist basi utakua umeshapata jibu la maswali yote ya juu.

Na ili uweze kuzifanya hizo statement ku Co-exist pamoja chukulia mfano wa computer ama game.

Developer anatengeneza Program ya computer anaweka maelfu ya features, Developer anajua features zote, wewe unatumia hio program una free will kuchagua feature yoyote ile ila hakuna feature hata moja ambayo utachagua ambayo developer haijui.

Mwenyez Mungu alitengeneza Dunia way before hata Binadamu wa kwanza hajakuja, Kila kitu kimeandikwa, wewe una free will kufuata ambavyo mwenyez Mungu ameweka, ila ni will yako inayoamua kufuata vitu vizuri vilivyowekwa na Mwenyez Mungu ama kufuata vitu vibaya.
Kujua kila kitu maana yake ni kujua kila kitu. Yaani kila kitu kuhusu maisha yako labda kuna siku utagombana na mtu flani, utaachwa na mkeo nk

Sasa maana yake ni kwamba hadi machaguzi yako anayajua. Hivyo hamna 'chaguzi huru'
 
Hapo katika hiyo Freewill, linazaliwa swali jingine tata, kama amenipa uhuru wa Kuchagua, vipi je kabla sijachagua Mungu anajua nitachagua nini?
Ndio jibu hapo nimekupa juu, Mwenyez Mungu anajua outcome ya ulichochagua, mwenye will ya kuchagua ni wewe, you have trilions of choice na outcome za Choice zote Mwenyez Mungu anazijua.
 
Pre-determinism ni mojawapo ya mambo pasua kichwa kabisa kuyaelewa na kuyapatia majibu kwa kutumia mantiki ya kawaida.

Mhubiri mmoja mashuhuri sana na msomi kweli kweli wa Thiolojia aliwahi kuulizwa kwamba itakuwaje kama Yesu Akirudi halafu akute watu ambao hawajawahi kusikia Injili yake. Je watu hao ambao hawajawahi kusikia habari zake watakwenda motoni au mbinguni?

Alisema kwamba watu hao watakwenda motoni maana kwenda mbinguni ni lazima kumpokea Yesu kama Bwana na Mwokozi. Lakini pia akapendekeza kwamba baadhi yao wanaweza kwenda mbinguni kwa sababu Mungu Anajua ni wapi kati yao wangempokea Yesu hata kama ingetokea wakahubiriwa; na kwamba hili Mungu Analijua na Alilijua hata kabla hao watu hawajazaliwa. Yaani Mungu Ali/najua watu ambao watakwenda mbinguni na ambao watakwenda motoni hata kabla watu hao hawajazaliwa!

Swali likaja kwamba: Je inawezekana mtu aliyekuwa predetermined kwenda motoni akapambana mpaka kubadilisha fate yake ya kwenda motoni na hatimaye kuishia mbinguni?

Niishie hapa maana maana huwa nikifikiria haya mambo kichwa huwa kinaishia kupata moto. Na mimi huwa nakiri kwamba kuna mambo kumhusu Mungu Ambayo sitakaa niyajue kamwe! Na kusema kweli nisingependa kumwabudu Mungu Ambaye najua kila kitu kumhusu 🙏🏿
Hapana sio kwamba ni magumu, bali yanajichanganya sema kwasababu tumekuwa brainwashed tangu utotoni, na tumekalilishwa kuwa maandiko ya mungu huwezi kuyaelewa kwa akili za kibinadamu wa huwezi kuyakosoa, hii ndio inawafanya watu wawe waoga na kushindwa kugundua mapungufu ya hizi Dini.
 
Back
Top Bottom