Frediluu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 1,075
- 266
Bunge lilikua kikaragosi, mahakama ilikua ni dalali, KUB waling'olewa meno, serikali ilikua ya kifalme,Moja ya majukumu ya bunge ni kuhakikisha Katiba inaheshimiwa na kulindwa
Ilikuwaje Bunge lilikaa kimya Katiba ikivunjwa?
KUB je?
Na Mahakama?
Mlale unono
Sasa sjui unamaanisha nini???
Nawakilisha.