Wakati hayati Magufuli anavunja Katiba Bunge lilikuwa wapi? Chama kikuu cha Upinzani kilikuwa wapi? Mahakama je?!

Mbona kesi imefunguliwa Magufuli akiwa hai?
Ndio natambua ilifunguliwa January 2020 kwanini ilicheleshwa na mahakama kama sio unafiki?

Uamuzi kwa kuzingatia maslahi na usalama wa nchi nchi ni ya kwanza kuliko matakwa ya kisheria yanayoshadadadiwa kwa mbwembwe.

Hukumu imetoka lakini mahakama hiyo jaina uwezo wa kuiamuru serikali ku-reinstate' Assad kwenye nafasi ya CAG haiwezekani na haitatokea.

Aliyefungua kesi ana maslahi binafsi na Assad ikiwemo mahusiano ya kifamilia

*The constitution and laws at large are not a doctrine with protective gears guarantee to statutorily prevent being treaded to safeguard the nation's interests and reservations which are substantially abused by arrogant public servants. The case and subsequent ruling are futile with negligible adverse impact on the decision to remove the then CAG which stands out to date.
 
Nimesoma hukumu husika kwa kina nikagundua ni usanii wa kisheria uliotumika. Hukumu nzima imekiri kwamba ni kweli Assad hayuko kwenye nafasi hiyo tena na kwamba wanachelea kusema kwamba anayeshikilia kiti cha CAG kwa sasa kama ni kinyume cha katiba.

Hukumu inaupotofu mkubwa kutoa hukumu kwa mshitakiwa ambaye hayupo hai na tena kesi kufunguliwa baada ya kifo chake wakati wadai walikuwa na muda wakufikisha suala hilo mahakamani hapo wakati mshitakiwa wa kwanza akiwa bado yuko hai ili utetezi wake uwe na uzito hivyo kutoa uamuzi kwa kuegemea upande mmoja bila kuzingatia hatua iliyochukuliwa na mshitakiwa kumwondoa aliyekuwa CAG Assad ilikidhi maslahi ya taifa au ilikuwa ni sababu binafsi.

Hukumu hii haibadilishi chochote wala haiwezi kuweka kumbukumbu ya 'precedence' yoyote kwa hapo baadae
Mshitakiwa alikuwa Magufuli au rais? Kama alikuwa Magufuli basi ilikuwa kesi binafsi.
 
Hayati Magufuli amekuwa scape goat lkn shida ipo kwenye mfumo mzima wa utawala na siasa za nchini mwetu tubadilike watanzania, Tanganyika ni Zanzibar na Zanzibar ni Tanganyika sauti yetu iwe moja kujenga Nchi yetu. Tofauti za vyama zinatengeneza matabaka kinafki maana asilimia 80 ya viongoz was kisiasa wanahama vyama kulingana na maslahi yao na si maslahi ya wote
Magufuli is to blame 100%
 
Kwamba umesahau mlipokuwa mmemuweka Mbowe?

Haya, ngoja nikukumbushe. Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani alikuwa na kesi ya ugaidi, na viongozi wengine mliotishia maisha yao walikimbia nchi.

Hivi umeuliza bunge lilikuwa wapi? Jibu ni hili, "bunge lilikuwa mfukoni mwa Ndugai".

Inahitaji kiwango kikubwa sana cha upumbavu kuiamini na kuitetea CCM!
Umemaliza
 
Moja ya majukumu ya bunge ni kuhakikisha Katiba inaheshimiwa na kulindwa

Ilikuwaje Bunge lilikaa kimya Katiba ikivunjwa?

KUB je?

Na Mahakama?

Mlale unono
Ni mpumbavu peke yake ambaye hakumbuki kuwa nchi ilikuwa chini ya shetani aliyenyang'anya mamlaka za dola kupitia polisi na jeshi!
 
Nimesoma hukumu husika kwa kina nikagundua ni usanii wa kisheria uliotumika. Hukumu nzima imekiri kwamba ni kweli Assad hayuko kwenye nafasi hiyo tena na kwamba wanachelea kusema kwamba anayeshikilia kiti cha CAG kwa sasa kama ni kinyume cha katiba.

Hukumu inaupotofu mkubwa kutoa hukumu kwa mshitakiwa ambaye hayupo hai na tena kesi kufunguliwa baada ya kifo chake wakati wadai walikuwa na muda wakufikisha suala hilo mahakamani hapo wakati mshitakiwa wa kwanza akiwa bado yuko hai ili utetezi wake uwe na uzito hivyo kutoa uamuzi kwa kuegemea upande mmoja bila kuzingatia hatua iliyochukuliwa na mshitakiwa kumwondoa aliyekuwa CAG Assad ilikidhi maslahi ya taifa au ilikuwa ni sababu binafsi.

Hukumu hii haibadilishi chochote wala haiwezi kuweka kumbukumbu ya 'precedence' yoyote kwa hapo baadae
Baada ya kusoma comment yako, nimeiona taswira yako hivi:
1. Wewe ni kipofu na kiziwi, au;
2. Wewe ni taahira, au
3. Uko ndotoni unaota, au
4. Wewe ni mnafiki grade one.
Nikatafakari Tena polepole, no. 1 mpaka 3 haupo. Uko namba 4, ninyi ni ukoo wa shetani.
 
Moja ya majukumu ya bunge ni kuhakikisha Katiba inaheshimiwa na kulindwa

Ilikuwaje Bunge lilikaa kimya Katiba ikivunjwa?

KUB je?

Na Mahakama?

Mlale unono
WEWE unaugojwa wa ukichaa......
1.Paah! Paah! paaaaaah! X 38 Mh Lissu -2017
2.Mh Lema alitupwa Kisongo kisa akawekwa hadharani Jiwe atakufa sababu ya ukatili na ushwetani wake.
3.Mh Mbowe alitupwa Jela kwa mikakati ya kiuchawi wa Jiwe nakumpaka kesi feki eti nigaidi wakati Jiwe ndiyo alikuwa gaidi ...
4. n.k mauchawi ya jiwe....


bludfuckn zako
 
Moja ya majukumu ya bunge ni kuhakikisha Katiba inaheshimiwa na kulindwa

Ilikuwaje Bunge lilikaa kimya Katiba ikivunjwa?

KUB je?

Na Mahakama?

Mlale unono
Kwa sababu ya upumbavu wenu Watanzania Magufuri alifanya kila anachokitaka kwenye nchi ya Wasomi wengi,matajiri wengi na waelewa wengi.
 
Hayati Magufuli amekuwa scape goat lkn shida ipo kwenye mfumo mzima wa utawala na siasa za nchini mwetu tubadilike watanzania, Tanganyika ni Zanzibar na Zanzibar ni Tanganyika sauti yetu iwe moja kujenga Nchi yetu. Tofauti za vyama zinatengeneza matabaka kinafki maana asilimia 80 ya viongoz was kisiasa wanahama vyama kulingana na maslahi yao na si maslahi ya wote
Hayo ni mawazo yako kwa vile huna maono,umgekuwa na maono ungejibu hoja za kujenga na siyo kebehi kebehi.Tanzania haiwezi kuwa imara bila kuwa na viongozi wenye uthubutu wa kusimamia kile Walichoapa mbele ya macho ya watu wengi.Kuongoza ni kutumika kuongoza siyo sifa,kuongoza siyo benki na kuongoza siyo utajiri.Uongozi ni utumishi kwa wote bila kujali itikadi zao,elimu zao,imani zao,kabila zao,kanda zao,utajiri wao.umaskini wao na uwajibikaji wao.
 
Nimesoma hukumu husika kwa kina nikagundua ni usanii wa kisheria uliotumika. Hukumu nzima imekiri kwamba ni kweli Assad hayuko kwenye nafasi hiyo tena na kwamba wanachelea kusema kwamba anayeshikilia kiti cha CAG kwa sasa kama ni kinyume cha katiba.

Hukumu inaupotofu mkubwa kutoa hukumu kwa mshitakiwa ambaye hayupo hai na tena kesi kufunguliwa baada ya kifo chake wakati wadai walikuwa na muda wakufikisha suala hilo mahakamani hapo wakati mshitakiwa wa kwanza akiwa bado yuko hai ili utetezi wake uwe na uzito hivyo kutoa uamuzi kwa kuegemea upande mmoja bila kuzingatia hatua iliyochukuliwa na mshitakiwa kumwondoa aliyekuwa CAG Assad ilikidhi maslahi ya taifa au ilikuwa ni sababu binafsi.

Hukumu hii haibadilishi chochote wala haiwezi kuweka kumbukumbu ya 'precedence' yoyote kwa hapo baadae
Hukumu haimwendei moja kwa moja mshitakiwa aliyekufa bali imejikita katika UTARATIBU ULIOTUMIKA KUMWONDOA CAG.Kwa vile una macho ya kuzimu huwezi kuliona hilo ila ingekuwa jiwe kahubiri kwenye majukwaa kuwa utaratibu uliotumika kumwondoa Profesa Assad ni Batili ungesema ni uzalendo uliotukuka kwa vile tu huna akili na maono.
Lakini watu wengine wakifanya cha maana wanaonekana wamekurupuka.Hata kama ulisoma shule za Kata badilika basi tanguliza maslahi ya nchi mbele na zingatia kuwa nchi ni mali ya watu na siyo mali ya kiongozi.
 
Ndio natambua ilifunguliwa January 2020 kwanini ilicheleshwa na mahakama kama sio unafiki?

Uamuzi kwa kuzingatia maslahi na usalama wa nchi nchi ni ya kwanza kuliko matakwa ya kisheria yanayoshadadadiwa kwa mbwembwe.

Hukumu imetoka lakini mahakama hiyo jaina uwezo wa kuiamuru serikali ku-reinstate' Assad kwenye nafasi ya CAG haiwezekani na haitatokea.

Aliyefungua kesi ana maslahi binafsi na Assad ikiwemo mahusiano ya kifamilia

*The constitution and laws at large are not a doctrine with protective gears guarantee to statutorily prevent being treaded to safeguard the nation's interests and reservations which are substantially abused by arrogant public servants. The case and subsequent ruling are futile with negligible adverse impact on the decision to remove the then CAG which stands out to date.
Wasiojulikana pole.
 
Moja ya majukumu ya bunge ni kuhakikisha Katiba inaheshimiwa na kulindwa

Ilikuwaje Bunge lilikaa kimya Katiba ikivunjwa?

KUB je?

Na Mahakama?

Mlale unono
title yako inasema chama kikuu cha upinzani...enzi hizo magu anavunja aktiba ulikuwa icu hukusikia kelele za wapinzani?....unapaswa kuuliza ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali kazi yake ni nini ikiwa haiwezi kushauri na au kuzuia upuuzi huo kufanyika
 
title yako inasema chama kikuu cha upinzani...enzi hizo magu anavunja aktiba ulikuwa icu hukusikia kelele za wapinzani?....unapaswa kumuuliza mwanasheria mkuu wa serikali kazi yake ni nini ikiwa hawezi kushauri na kuzuia upuuzi huo kufanyika
Huyo jamaa naona huwa anatafuta watu wa kuwaadhibu kwa sababu zake binafsi hoja zake ni za kichokozi na kejeli kejeli zisizo kuwa na majibu ya uhakika.
 
Huu nao ni unafiki wa kiwango cha gold safi.
Ni nani asiyejua kua enzi ya mwendazake kila kitu hadi katiba vilikuwa chini yake???????
Yule bwana, hakuwa anaiheshimu Katiba. Kwa mfano, katiba inampa Rais uwezo wa kuteua Wabunge 10, lakini imeelekeza kuwa kati ya hao 10, angalao nusu wawe wanawake. Hivyo, Wanawake wasiwe chini ya watano. Lakini Mwamba, akachagua wanaume SITA! Bunge likakaa kimyaaaa! Kelele za nje ya Bunge zilipozidi zikisema kavunja Katiba, ndipo akampunguza M'bunge mmoja Mr Possi, kwa lugha ya KUJIUZURU, na kumpeleka Ujerumani!
 
Baada ya kusoma comment yako, nimeiona taswira yako hivi:
1. Wewe ni kipofu na kiziwi, au;
2. Wewe ni taahira, au
3. Uko ndotoni unaota, au
4. Wewe ni mnafiki grade one.
Nikatafakari Tena polepole, no. 1 mpaka 3 haupo. Uko namba 4, ninyi ni ukoo wa shetani.
Rubbish
 
Hukumu haimwendei moja kwa moja mshitakiwa aliyekufa bali imejikita katika UTARATIBU ULIOTUMIKA KUMWONDOA CAG.Kwa vile una macho ya kuzimu huwezi kuliona hilo ila ingekuwa jiwe kahubiri kwenye majukwaa kuwa utaratibu uliotumika kumwondoa Profesa Assad ni Batili ungesema ni uzalendo uliotukuka kwa vile tu huna akili na maono.
Lakini watu wengine wakifanya cha maana wanaonekana wamekurupuka.Hata kama ulisoma shule za Kata badilika basi tanguliza maslahi ya nchi mbele na zingatia kuwa nchi ni mali ya watu na siyo mali ya kiongozi.
Upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom