Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
Umekosea kuulizaMoja ya majukumu ya bunge ni kuhakikisha Katiba inaheshimiwa na kulindwa
Ilikuwaje Bunge lilikaa kimya Katiba ikivunjwa?
KUB je?
Na Mahakama?
Mlale unono
Ungeuliza hivi wakati Nusrat Hanje anatolewa gerezani kwenda kuapishwa kuwa mbunge wa viti maalum CDM Magufuli alikua wapi?
Ukipata jibu basi ndio litakua jibu kwa swali lako simple