Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,759
Upo sahihi mkuu,huyu jamaa Ni miyeyusho Sananna uhakika hiki kichwa hakitafuti kodi, hakilipi bili ya maji, hakilipi umeme, wala hakina wasiwasi wa leo ntakula nini
Nina njaa ngoja kwanza nishibe😅
Muda wowote,mahali popote na mazingira yoyote ilimradi yawe rafiki kwenu wote.Usiku au mchana na kama ni usiku iwepo taa au izimwe ,madirisha yafungwe au yawachwe wazi ,kuna mapazia.
tafadhali saidia utushauri.
Nitafarijika zikiwepo sababu na ukosoaji.
Ukizingatia kutupatia faida.
Umeupasua moyo wangu daah🤣Kufanya mapenzi 😂
Nilimiss kukusikia tu jmn😂Kufanya mapenzi 😂
Kuna watu bwana Sasa hicho nacho cha kuuliza
Mie nipo na shida ya umeme mgao wameweka wenyewe ajab mpaka siku ya kupata umeme hatupati wanadai Kuna hitilafu.Nilimiss kukusikia tu jmn😂
Jamani pole, nilete sola kubwa au jenereta mremboMie nipo na shida ya umeme mgao wameweka wenyewe ajab mpaka siku ya kupata umeme hatupati wanadai Kuna hitilafu.
Mpigie waziri Biteko awajibishe Viongozi wa Tanesco 😂Jamani pole, nilete sola kubwa au jenereta mrembo
Tunataka tuwaonyeshe jeuri kuwa bila wao pia twaweza kuishi😂Mpigie waziri Biteko awajibishe Viongozi wa Tanesco 😂
Nina njaa ngoja kwanza nishibe😅
Umetujulisha kijajusi Sana.Nina njaa ngoja kwanza nishibe😅
Nafanyaje hiyo kitu wakati tumbo lipo empty?Umetujulisha kijajusi Sana.
Kwa hiyo amekumisi na hajui una njaa 🤣🤣🤣😂😂jamaa mkiller huyu😀😀😆
Ngoja tuwaulize Wapemba hapa mtaaniUsiku au mchana na kama ni usiku iwepo taa au izimwe ,madirisha yafungwe au yawachwe wazi ,kuna mapazia.
tafadhali saidia utushauri.
Nitafarijika zikiwepo sababu na ukosoaji.
Ukizingatia kutupatia faida.
Yaani msweety wako hajui hata kama umekula ama laah😆😆😆yeye anajua kukuita tu😄😄😄Nafanyaje hiyo kitu wakati tumbo lipo empty?
Kabla za wapemba tupe za kwenu hukoNgoja tuwaulize Wapemba hapa mtaani