Wakandarasi wa Kichina wanatuharibia dada zetu

Wakandarasi wa Kichina wanatuharibia dada zetu

Harufu ya nini?Makalio/mk.....,kwapa,mdomo,mwili,jasho,masikio,kikojoleo,masikioni au machoni,mavi au?

Na ulijuaje kama wananuka?

Be specific na tupe uzoefu uliokutana nao.
Wachina wana harufu kali jamani sijui watu hua wanawavumiliaje.
 
Hao wadada wamejipeleka.wenyewe hakuna anayebaka...wafundisheni matumizi ya p2 na condom
Wanajamvi, nimekuwa nawaza sana kuhusiana na hawa wanajiita wakandarasi wa Kichina ambao wanajenga barabara na miradi mbalimbali hapa nchini.

Sijawahi waona wakandarasi wa kike ila ni wa kiume tu.

Maswali yangu ni haya:
1: Je, hakuna wataalamu wa kike wa Kichina?

2: Hawa wanaume wa Kichina hawana wake zao? Na kama wanao, Je kwanini wasiruhusiwe waje nao huku?

Wanawaharibu dada zetu.
 
Na hao wachina hasa hao wanaojenga jenga walivyo wajanja walio wengi huwa wanawapa mimba wale wadada wa hali za chini ambao wanajua wanawapata kirahisi wakishaweka mimba mwisho wa siku mchina anasepa zake huku nyuma wanaacha wadada wanahangaika sana katika kuwalea hao watoto.

Nilisikitika siku moja nilipoona video ya mdada mdogo tu ana katoto kadogo hapo ka kichina anasema hana jinsi ya kumlea huyo mtoto anaomba asaidiwe kwani huyo mchina aliyempa mimba alisharudi kwao na hadhani kama itakuja siku waonane naye tena kwani hata jina hamjui. Nikasema aiseee.
 
Mingekua Rais wa Tanzania Kila mwanamke aliye zaa na mchina au mjapani ningempa mil 10 ya matunzo na mtoto kusomeshwa bure hadi chuo kikuu.
 
OK, wakati mnatinduana au?We kicheche Wala chips na mihips yao wapo wengi we unatinduliwa na hiyo mijamaa??Hehehehe
Yeah, wanawake hua hawanyoi vuzi basi ni shidaaaWananuka mwili kiujumla, harufu yao sijaweza kuivumilia
 
Sheikh hutaki bwashee wa Kichina

Nani anataka watu wasio na utaratibu? wangeweka mambo peupe nisingekuwa na shida nao, ila kwa wanayoyafanya na kutuachia wajukuu si vizuri.
 
Inaasemekana wana
Wanajamvi, nimekuwa nawaza sana kuhusiana na hawa wanajiita wakandarasi wa Kichina ambao wanajenga barabara na miradi mbalimbali hapa nchini.

Sijawahi waona wakandarasi wa kike ila ni wa kiume tu.

Maswali yangu ni haya:
1: Je, hakuna wataalamu wa kike wa Kichina?

2: Hawa wanaume wa Kichina hawana wake zao? Na kama wanao, Je kwanini wasiruhusiwe waje nao huku?

Wanawaharibu dada zetu.
Inasemekana wana UDUDU mifupi sana, sasa watawaharibu vipi watu walio zoea mitarimbo?
 
Wanajamvi, nimekuwa nawaza sana kuhusiana na hawa wanajiita wakandarasi wa Kichina ambao wanajenga barabara na miradi mbalimbali hapa nchini.

Sijawahi waona wakandarasi wa kike ila ni wa kiume tu.

Maswali yangu ni haya:
1: Je, hakuna wataalamu wa kike wa Kichina?

2: Hawa wanaume wa Kichina hawana wake zao? Na kama wanao, Je kwanini wasiruhusiwe waje nao huku?

Wanawaharibu dada zetu.
Na sisi tunawaharibu dada zao huko china.
 
Mkuu Dada yako itakuwa katafunwa sio kwa povu hilo.
 
Hawajui kutumia kondomu na Dada zetu nap hawajui hapana.. Wanaona kuzaa na mchina ni dili
Wanajamvi, nimekuwa nawaza sana kuhusiana na hawa wanajiita wakandarasi wa Kichina ambao wanajenga barabara na miradi mbalimbali hapa nchini.

Sijawahi waona wakandarasi wa kike ila ni wa kiume tu.

Maswali yangu ni haya:
1: Je, hakuna wataalamu wa kike wa Kichina?

2: Hawa wanaume wa Kichina hawana wake zao? Na kama wanao, Je kwanini wasiruhusiwe waje nao huku?

Wanawaharibu dada zetu.
 
Wanajamvi, nimekuwa nawaza sana kuhusiana na hawa wanajiita wakandarasi wa Kichina ambao wanajenga barabara na miradi mbalimbali hapa nchini.

Sijawahi waona wakandarasi wa kike ila ni wa kiume tu.

Maswali yangu ni haya:
1: Je, hakuna wataalamu wa kike wa Kichina?

2: Hawa wanaume wa Kichina hawana wake zao? Na kama wanao, Je kwanini wasiruhusiwe waje nao huku?

Wanawaharibu dada zetu.
Kulikoni mkuu? Wachina wamekutombelea ?
 
Mkuu Dada yako itakuwa katafunwa sio kwa povu hilo.

Mwanamke yeyote wa kitanzania ni Bibi/Mama/Shangazi/Dada yangu. Hivyo ninaposema Dada zetu namaanisha hayo.
 
Back
Top Bottom