K zao za baridi kinyama....
Kweli kabisa mkuu, yani wanaharufu kali ajabu siwake wala si waume!Wachina wana harufu kali jamani sijui watu hua wanawavumiliaje.
Walikuwa watoto wawili tu tena ni ndugu bahati mbaya zaidi mazingira yamewafanya waonekane ni wala ugali tuTembelea mitaa ya udom ukute wajomba zako wa kichina baada ya mradi wa chuo wakawaachia na zawadi nyingine 😀
Hii hutokana na aina ya vyakula vya ajabu ajabu wanavyokula pamoja na spices nyingi.Kweli kabisa mkuu, yani wanaharufu kali ajabu siwake wala si waume!
Kweli kabisa mkuu, yani wanaharufu kali ajabu siwake wala si waume!
Kuna mchina aliniambia kuoa Mchina mwenzake inabidi ujipange sana
Too complicated
😳 Haifai kuonyesha picha ambayo siyo yako na wenyewe hawajatoa idhini ya kuchapishwa!.... Wakikushitaki??
Mtanzania yeyote ni dadako, hivyo hata Dada yake yawezekana yupo kwenye mkumbo
😳 Haifai kuonyesha picha ambayo siyo yako na wenyewe hawajatoa idhini ya kuchapishwa!.... Wakikushitaki??
Kila walipowahi jenga nyumba za project kubwa kubwa utakuta vijukuu ambao ni waswahili/wachina lakini vinagonga kigogo kuliko mzee Malecela wa .....Mvumi mission mlibhaswanooo?
Vipi ulishatest?Wachina wana harufu kali jamani sijui watu hua wanawavumiliaje.