Gaudensia.....sijakusomaChaajabu ni kwamba hapo zamani visuprise vya kijingajinga mnavyovidai cku hz havikuwepo lakin loh...ndoa zilidumu sanaaa..... Lakin cku hz mwanamke utapewa kilakitu unachokitaka.....lakin bdo hamtosheki....duh...matokeo yake ndoa nyingi na mahusiano, hazidumu.... Ni Myngu tu atusaidie ..maana kama ni kurudi kwa nyoka bas wenzetu mnarudi kwa kasi kuliko hata aliyeanza kudanganywa....
MTU mbabeeee yaani Hata havutiiiWanaume wabakaji mm hata siwapendi romantic wanaota kwenhe ndoto
Ni maua yoyote ya asili yanukiayo vizuri.Fresh flowers ndo nin
Be Romantic bwana.Acha ubishikwaio uanaume ni kumtetemekea mwanamke ili asikuache (au ndo umeanza mapenzi nini mkuu)Samson alikua romantiki leo yuko wapi, ..nyie ndo wale ambao mnapigishwa deki nyumbani na mwanamke anaangalia tv