[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwenye utawala wa huyu jamaa hizo surprises, maua maua sijui unaita fresh flowers, vinguo vya ndani na vijizawadi havina bajeti kwa sasa.
Mulielewe hilo. Muache kusumbua sumbua...
Unaweza shangaa pale atakapokuuliza umenunua shi ngapi? mtajie utasikia majibu yakeWanawake wa kibongo hawathamini maua,wee mpe hela,..et kabsa dume zima ubabeba miua unapeleka kwa dem wa kibongo?atacheka kimoyomoyo...maua waachie ngoz nyeupe
Unafikiri sijui bei,unajiletesha vimaua hapa vya miambili pesa yote unahonga.Na hapa hupati kitu Ukimwi wako peleka huko huko....Unaweza shangaa pale atakapokuuliza umenunua shi ngapi? mtajie utasikia majibu yake
Kha!hivi kuna mwanaume zama hizi anahangaika kumfurahisha mwanamke?!?Mwanaume jikite kutafuta pesa watoto wa kike wapo tu na wanazaliwa wazuri kila siku,akikuacha huyu winda mwingine, huyu akizingua kamata mwingine!!mbona wetu tu hawa!!Heloooo
Kidogo nimeona nije Na masomo kadogo Leo baada ya wiki Tamu hii ya 900 itapendeza!!
Jamani wakaka/ wababa Sio eti Ukiwa Na six pack au pesa au muonekano mzuri Sijui urefu ndo Wanawake wachumba utapata Nope!!
Sometimes you need to be gentleman/ Romantic and charming.
Nimeona humu baadhi wanalalama wana kila kitu but hawawapati wapenzi.
Siri ndo hiyo.Tumia lugha tamu Na lakini.
Siku zingine nunua Hata fresh flowers mpelekee, vinguo vizuri zuri vya ndani visandozi..n.k
Simple.Na visurprise surprise!
Fanya maisha yenu ya kimapenzi mepesi laini.
Kukalipiaa Ubabe nooo!
Mwanamke anahitaji kubembelezwa
Vikosa vidogodogo puuzieni
Jamani Kuna wanaume wana Gubuuuu
Hapana!!
Utakimbiwa.
OK.Good Night.
Huo c uanaume ni uvulanaKha!hivi kuna mwanaume zama hizi anahangaika kumfurahisha mwanamke?!?Mwanaume jikite kutafuta pesa watoto wa kike wapo tu na wanazaliwa wazuri kila siku,akikuacha huyu winda mwingine, huyu akizingua kamata mwingine!!mbona wetu tu hawa!!
Umemaliza mkuu.Tatizo mnahitaji mambo mengi while sisi tunahitaji kimoja tu
Naaam da shemeji. Chini ya utawala wa huyu bwana si mnaona hali ilivyo jamani???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo tuache kusumbua my shem?Naaam da shemeji. Chini ya utawala wa huyu bwana si mnaona hali ilivyo jamani???
Sawa!!wewe mwanaume endelea kubembeleza,nunua maua,kyupi,magauni,mfanyie besdei pati, fanya kila kitu mwanawane kama mleta uzi alivoshauri!!umeskia eenh!!Huo c uanaume ni uvulana