Wakaka/wababa kuweni romantic kidogo

Wakaka/wababa kuweni romantic kidogo

Heloo,

Kidogo nimeona nije na masomo kadogo Leo baada ya wiki tamu hii ya 900 itapendeza,

Jamani wakaka/ wababa sio eti ukiwa na six pack au pesa au muonekano mzuri sijui urefu ndo wanawake wachumba utapata nope.

Sometimes you need to be gentleman/ romantic and charming. Nimeona humu baadhi wanalalama wana kila kitu but hawapati wapenzi.

Siri ndo hiyo. Tumia lugha tamu na lakini. Siku zingine nunua hata fresh flowers mpelekee, vinguo vizuri zuri vya ndani visandozi n.k.

Simple na visurprise surprise fanya maisha yenu ya kimapenzi mepesi laini.
Kukalipiaa Ubabe nooo.

Mwanamke anahitaji kubembelezwa, vikosa vidogodogo puuzieni jamani kuna wanaume wana gubu hapana. Utakimbiwa.

OK.Good Night.
cjui wanawake huwa wanapenda nin?,ulivyoandika hapo kuna dem mmoj hatak kuvickia.
 
Heloo,

Kidogo nimeona nije na masomo kadogo Leo baada ya wiki tamu hii ya 900 itapendeza,

Jamani wakaka/ wababa sio eti ukiwa na six pack au pesa au muonekano mzuri sijui urefu ndo wanawake wachumba utapata nope.

Sometimes you need to be gentleman/ romantic and charming. Nimeona humu baadhi wanalalama wana kila kitu but hawapati wapenzi.

Siri ndo hiyo. Tumia lugha tamu na lakini. Siku zingine nunua hata fresh flowers mpelekee, vinguo vizuri zuri vya ndani visandozi n.k.

Simple na visurprise surprise fanya maisha yenu ya kimapenzi mepesi laini.
Kukalipiaa Ubabe nooo.

Mwanamke anahitaji kubembelezwa, vikosa vidogodogo puuzieni jamani kuna wanaume wana gubu hapana. Utakimbiwa.

OK.Good Night.
Chaajabu ni kwamba hapo zamani visuprise vya kijingajinga mnavyovidai cku hz havikuwepo lakin loh...ndoa zilidumu sanaaa..... Lakin cku hz mwanamke utapewa kilakitu unachokitaka.....lakin bdo hamtosheki....duh...matokeo yake ndoa nyingi na mahusiano, hazidumu.... Ni Myngu tu atusaidie ..maana kama ni kurudi kwa nyoka bas wenzetu mnarudi kwa kasi kuliko hata aliyeanza kudanganywa....
 
Wanaume wabakaji mm hata siwapendi romantic wanaota kwenhe ndoto
 
Ukipata mtu wa hvyo you need to learn how to be cool and ucwe unaweka vtu moyoni unaweza lia kila saa!
 
Mleta Mada Haya Mambo Ya Watoto Wa Masaki

Huku Kwetu Ukipeleka Vitu Kama Ivyo Watakuuliza Ndio Tuyale Hayo Sasa

Huku Labda Upeleke Dela Iv

Miguu Ya Kukuu

Hapo Utaeleweka
 
Heloo,

Kidogo nimeona nije na masomo kadogo Leo baada ya wiki tamu hii ya 900 itapendeza,

Jamani wakaka/ wababa sio eti ukiwa na six pack au pesa au muonekano mzuri sijui urefu ndo wanawake wachumba utapata nope.

Sometimes you need to be gentleman/ romantic and charming. Nimeona humu baadhi wanalalama wana kila kitu but hawapati wapenzi.

Siri ndo hiyo. Tumia lugha tamu na lakini. Siku zingine nunua hata fresh flowers mpelekee, vinguo vizuri zuri vya ndani visandozi n.k.

Simple na visurprise surprise fanya maisha yenu ya kimapenzi mepesi laini.
Kukalipiaa Ubabe nooo.

Mwanamke anahitaji kubembelezwa, vikosa vidogodogo puuzieni jamani kuna wanaume wana gubu hapana. Utakimbiwa.

OK.Good Night.
mimi wa tarime haya ya kubembeleza ntayaweza kweli,
 
Back
Top Bottom