Wakaka/wababa kuweni romantic kidogo

Wakaka/wababa kuweni romantic kidogo

Heloo

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
4,391
Reaction score
3,409
Heloo,

Kidogo nimeona nije na masomo kadogo Leo baada ya wiki tamu hii ya 900 itapendeza,

Jamani wakaka/ wababa sio eti ukiwa na six pack au pesa au muonekano mzuri sijui urefu ndo wanawake wachumba utapata nope.

Sometimes you need to be gentleman/ romantic and charming. Nimeona humu baadhi wanalalama wana kila kitu but hawapati wapenzi.

Siri ndo hiyo. Tumia lugha tamu na lakini. Siku zingine nunua hata fresh flowers mpelekee, vinguo vizuri zuri vya ndani visandozi n.k.

Simple na visurprise surprise fanya maisha yenu ya kimapenzi mepesi laini.
Kukalipiaa Ubabe nooo.

Mwanamke anahitaji kubembelezwa, vikosa vidogodogo puuzieni jamani kuna wanaume wana gubu hapana. Utakimbiwa.

OK.Good Night.
 
Sawa...sasa unaweza kulala...saa sita kasoro hii...itapendeza [emoji38][emoji38][emoji38]
Nimechekaaaa
Ndo ubaya wa shemeji yako kuwa nje masomo ni
Najikuta silali naanzisha Mara tu humu.
OK.Aksante kwa ushauri.
Imependeza
 
Heloo ,

Mkuu, Mimi huwa nakuelewa sana.

Thanks a lot for a little piece of information but, very comprehensive to cure our marriage lives.
 
acha maneno mengi siri yenu ni 900 itapendeza zaid kama huna hiyo sizan kama uliyoandika hapo yatakuwa na maana yeyote
Haaa haaa 900 itapendeza
Yaani nachekaa sana
But Romantic way is more better
Pesa si kitu
 
Nyie dawa ni 900 itapendeza sasa.
Hapo ata uwe abused kiasi gani utakuta umeng'ang'ania kama Ruba hutoki!
 
Heloooo
Kidogo nimeona nije Na masomo kadogo Leo baada ya wiki Tamu hii ya 900 itapendeza!!

Jamani wakaka/ wababa Sio eti Ukiwa Na six pack au pesa au muonekano mzuri Sijui urefu ndo Wanawake wachumba utapata Nope!!
Sometimes you need to be gentleman/ Romantic and charming.
Nimeona humu baadhi wanalalama wana kila kitu but hawawapati wapenzi.

Siri ndo hiyo.Tumia lugha tamu Na lakini.
Siku zingine nunua Hata fresh flowers mpelekee, vinguo vizuri zuri vya ndani visandozi..n.k
Simple.Na visurprise surprise!
Fanya maisha yenu ya kimapenzi mepesi laini.
Kukalipiaa Ubabe nooo!
Mwanamke anahitaji kubembelezwa
Vikosa vidogodogo puuzieni
Jamani Kuna wanaume wana Gubuuuu
Hapana!!
Utakimbiwa.
OK.Good Night.
Nanyi,punguza maneno,hujajibiwa moja umeanzisha jingine,,!!!!! Story zipange kwa pozi,!
 
Nyie dawa ni 900 itapendeza sasa.
Hapo ata uwe abused kiasi gani utakuta umeng'ang'ania kama Ruba hutoki!
Huyu Mzee sidhani kama atasahaulika kirahisi
Le New sponsor in Town
Halafu hakuwa Na papara
That is how it goes for real man
 
nimecheka sana mku kwa kumpata m babe na asiye kununulia vijizawadi ila nimecopy na kumtumia shemeji whatsapp ajirekebishe hata kama yupo masomoni akukumbuke
 
Neno “Baadhi”muhimu sana hapa.

Heloooo
Kidogo nimeona nije Na masomo kadogo Leo baada ya wiki Tamu hii ya 900 itapendeza!!

Jamani wakaka/ wababa Sio eti Ukiwa Na six pack au pesa au muonekano mzuri Sijui urefu ndo Wanawake wachumba utapata Nope!!
Sometimes you need to be gentleman/ Romantic and charming.
Nimeona humu baadhi wanalalama wana kila kitu but hawawapati wapenzi.

Siri ndo hiyo.Tumia lugha tamu Na lakini.
Siku zingine nunua Hata fresh flowers mpelekee, vinguo vizuri zuri vya ndani visandozi..n.k
Simple.Na visurprise surprise!
Fanya maisha yenu ya kimapenzi mepesi laini.
Kukalipiaa Ubabe nooo!
Mwanamke anahitaji kubembelezwa
Vikosa vidogodogo puuzieni
Jamani Kuna wanaume wana Gubuuuu
Hapana!!
Utakimbiwa.
OK.Good Night.
 
Back
Top Bottom