Wakaka/wababa kuweni romantic kidogo

Wakaka/wababa kuweni romantic kidogo

kwa nilichokuelewa mm kua romantic ni kuongeza hela tunazowahonga
Hapana
Pesa Si kila kitu
Pesa ni sawa Na chumvi kwenye mboga
But still njaa ikiuma Hakuna chunvi utakula tu
 
Acha ujinga ww..heshima ipi wakat unadanga tu apa
Haaaa haaaaa haaaaa
Sawa( siwezi kuzuia mtazamo wako)
Wala siwezi kuchukua I know myself
Usiwe Na hasira kwa MTU ambaye wala hujui
I'm just getting fun here!
 
Haaaa haaaaa haaaaa
Sawa( siwezi kuzuia mtazamo wako)
Wala siwezi kuchukua I know myself
Usiwe Na hasira kwa MTU ambaye wala hujui
I'm just getting fun here!
Nafikir sasa tunaelewana..haya iyo papa naipataje
 
Ila wanaume tuna kazi!yani pesa niyafute kwa jasho,nije nikulete ule,uvae,ulale sehemu nzuri,nisomeshe watoto,nisaidie ndugu zako na wangu,nikupe penzi zuri,daaah Bado niwe romantic aaaah hata shetani hapendi hivyo
 
Haaaa haaaa Haaaa
Hii nayo Kali
OK.wengine hawana knowledge Na mambo hayo.
But it's a nice thing, once in a while.
yeah depending on ur partner..






kama ni mpenzi wa hayo mambo then hakuna shida
 
Gaudensia.....sijakusoma
Zama zinabadilika
Amini mpaka Leo hii Kuna MAHUSIANO matamuu asali haioni ndani.
Wewe tu
Yan unajua majukumu aliyopewa mwanamke ni makubwa sana kuliko tunavyofikiri.....awezaye kuyatekeleza ndie aifanyae ndoa yake iwe tamu zaidi ya asali....chaajabu leo et mwanamke anadai maua na kupelekwa beach....
 
Ila wanaume tuna kazi!yani pesa niyafute kwa jasho,nije nikulete ule,uvae,ulale sehemu nzuri,nisomeshe watoto,nisaidie ndugu zako na wangu,nikupe penzi zuri,daaah Bado niwe romantic aaaah hata shetani hapendi hivyo
Hiyo ndo kazi inayotakiwa.usikwepe.
Unajua kubebelezana Kali nzuri ni chachu sana ya mapenzi
Sijui uliyaona ya mtangazaji mmoja kumbwaga Boss wa Radio 1
Alikosa ule upendo niliosema
So you can see Money failed to won her love.
 
yeah depending on ur partner..






kama ni mpenzi wa hayo mambo then hakuna shida
Sio vibaya kujuzana
Wengi hawajui Hata Pipi ukimnunulia mpenzi wako unashow love ( pipi ya 100)
 
Yan unajua majukumu aliyopewa mwanamke ni makubwa sana kuliko tunavyofikiri.....awezaye kuyatekeleza ndie aifanyae ndoa yake iwe tamu zaidi ya asali....chaajabu leo et mwanamke anadai maua na kupelekwa beach....
OK.Fafanua hayo.
Ili tuzidi kupata ufahamu
 
Sio vibaya kujuzana
Wengi hawajui Hata Pipi ukimnunulia mpenzi wako unashow love ( pipi ya 100)
kweli kabisa..


tatizo la mapenzi ya siku hizi watu unaweza kuta wanakaribia hata mwaka lakini bado hawajuani kinaga ubaga... hakuna anaejua mwenzie anapendelea kitu gani au kufanyiwa nini
 
kweli kabisa..


tatizo la mapenzi ya siku hizi watu unaweza kuta wanakaribia hata mwaka lakini bado hawajuani kinaga ubaga... hakuna anaejua mwenzie anapendelea kitu gani au kufanyiwa nini
Kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom