kwaio uanaume ni kumtetemekea mwanamke ili asikuache (au ndo umeanza mapenzi nini mkuu)Samson alikua romantiki leo yuko wapi, ..nyie ndo wale ambao mnapigishwa deki nyumbani na mwanamke anaangalia tvHuo c uanaume ni uvulana
hajielewi uyo achana nae,hawa ndo wale ambao akisalitiwa na mwanamke anaenda kujinyongaSawa!!wewe mwanaume endelea kubembeleza,nunua maua,kyupi,magauni,mfanyie besdei pati, fanya kila kitu mwanawane kama mleta uzi alivoshauri!!umeskia eenh!!
Haaaa haaaaaaanimecheka sana mku kwa kumpata m babe na asiye kununulia vijizawadi ila nimecopy na kumtumia shemeji whatsapp ajirekebishe hata kama yupo masomoni akukumbuke
Mbona ndo kiromantic zaidiUnafikiri sijui bei,unajiletesha vimaua hapa vya miambili pesa yote unahonga.Na hapa hupati kitu Ukimwi wako peleka huko huko....
Hahahahahaaaaa
Mahaba niue!!!
Hiyo haitoshi unaongezewa na zawadi ya fyyoooo!!!
Hujabahatika kuwaona??Kha!hivi kuna mwanaume zama hizi anahangaika kumfurahisha mwanamke?!?Mwanaume jikite kutafuta pesa watoto wa kike wapo tu na wanazaliwa wazuri kila siku,akikuacha huyu winda mwingine, huyu akizingua kamata mwingine!!mbona wetu tu hawa!!
Haaaa haaaa HaaaaKuna mwenzio wa jinsia yako alipelekewa 'fresh flowers' akamjibu mletaji kuwa,''umeniona mi nyuki nataka kutengeneza asali''
Nipe papaUmeona eeeh
Aksante kwa uelewa.
I'm humbled