Wakaka wa kibongo marekani ni miyeyusho....

Alishawahi kuwa na wa 5 kwa muda gani? na anadai kila after 4/5 months kibuti so ndani ya mwaka ashabadili 4 hivi na siajabu kakata ukali wa manenoi mimi namuongezea ndani ya mwaka 7 hao ni permanent bado wale wa fasta fasta, mh ndio maana watu wengine hawaaoi kwa hali kama hii mtu unaweza kuuoa ukajapata background ya mkeo ukazimia. kweli kuna watu used duniani.

Ujumbe unaeleweka
 
Alishawahi kuwa na wa 5 kwa muda gani? na anadai kila after 4/5 months kibuti so ndani ya mwaka ashabadili 4 hivi na siajabu kakata ukali wa manenoi mimi namuongezea ndani ya mwaka 7 hao ni permanent bado wale wa fasta fasta, mh ndio maana watu wengine hawaaoi kwa hali kama hii mtu unaweza kuuoa ukajapata background ya mkeo ukazimia. kweli kuna watu used duniani.

nakuunga mkono broda... :doh:
 
Watu bana! Wanaua thread eti ni ya kipuuzi huku wanachangia. Talk about bitchazzness then lookie no further
 
jamani acheni dada wa watu kumsimanga.kwani nyie wanaume kabla hamjaoa,mmetembea na wanawake wangapi?wengine wenu mpaka leo mna nyumba ndogo.kwa mwanamke imekuwa kituko?bora yeye kawa mkweli,kuwa mkweli imekuwa kosa?haya mambo yapo bwana.pengine ana enjoy kubadilisha zana,ndio maana wanawake wengi hawawezi kusema,kabla ya kuolewa kulikuwa na wengi nyuma,unajinyamazia kimya.The best way dada,take a break na masuala ya relationship,mimi hapa nina looooong break baada ya kuachana na ex wangu.nimejipangia nakaa mwaka mzima single,ukiendelea kubadilisha,utaonekana malaya.Focus na mambo yako mengine.inaonyesha kama una haraka sana ya ndoa,haya mambo yako.Tulia.Maybe wanaume wengi wameumia kwa kuwa umewakandia kidogo
 
Mimi ni mdada wa miaka 26 nakaa USA, nimekuwa sina bahati kabisa kupata kaka wa kitanzania huku USA ambae naweza kuna kwenye relationship naye zaidi hata ya miezi sita. Yaani huwa baada hata ya 4month au 3 narudi kuwa single tena. Hawa makaka wa kibongo huku USA wengi hawana la maana kabisa, hawana shule, hakuna makaratasi wala kazi ya maana unayoweza sema umechukulie seriously. So far nimekuwa na makaka wa kibongo 5 hapa USA na wote mwanzoni nilifikiri ni wa maana lakini nakuja kungudua wanadanganya, kazi zao, kiwango chao cha elimu wengine mpaka wanaishia kuniomba pesa mimi sababu hawana hata kazi. SASA NIMECHOKA KABISA NATAKA KUTAFUTA KAKA WA KIBONGO ALIYE HUKU NYUMBANI SITAKI TENA HAWA WABEBA MABOX WA HAPA KABISA. Kuna kaka fulani mbongo tumekuwa tukicommunicate nae na anaonekana kunipenda kabisa anakazi nzuri sana, very handsome na nilivyokuwa bongo mwaka huu July tulikula good time sana tuu. SASA NATAKA KURUDI NYUMBANI NA KUANZA MAISHA YANGU HUKO KABISA, NA KUWA NA HUYO KAKA. Mimi nina elimu yangu nzuri tuu nitapata masters yangu this dec. JE MUNAONA NI JAMBO LA MAANA?
Source ni: WAKAKA WA KIBONGO MAREKANI NI MIYEYUSHO....


Wakaka wa kibongo si wanataka vibibi vya kizungu vile vyenye mali isiyokuwa na mrithi, sasa wewe si unahitaji kutunzwa wakati vibibi vinatunza havitunzwi?
 
Mimi ni mdada wa miaka 26 nakaa USA, nimekuwa sina bahati kabisa kupata kaka wa kitanzania huku USA ambae naweza kuna kwenye relationship naye zaidi hata ya miezi sita. Yaani huwa baada hata ya 4month au 3 narudi kuwa single tena. Hawa makaka wa kibongo huku USA wengi hawana la maana kabisa, hawana shule, hakuna makaratasi wala kazi ya maana unayoweza sema umechukulie seriously. So far nimekuwa na makaka wa kibongo 5 hapa USA na wote mwanzoni nilifikiri ni wa maana lakini nakuja kungudua wanadanganya, kazi zao, kiwango chao cha elimu wengine mpaka wanaishia kuniomba pesa mimi sababu hawana hata kazi. SASA NIMECHOKA KABISA NATAKA KUTAFUTA KAKA WA KIBONGO ALIYE HUKU NYUMBANI SITAKI TENA HAWA WABEBA MABOX WA HAPA KABISA. Kuna kaka fulani mbongo tumekuwa tukicommunicate nae na anaonekana kunipenda kabisa anakazi nzuri sana, very handsome na nilivyokuwa bongo mwaka huu July tulikula good time sana tuu. SASA NATAKA KURUDI NYUMBANI NA KUANZA MAISHA YANGU HUKO KABISA, NA KUWA NA HUYO KAKA. Mimi nina elimu yangu nzuri tuu nitapata masters yangu this dec. JE MUNAONA NI JAMBO LA MAANA?
Source ni: WAKAKA WA KIBONGO MAREKANI NI MIYEYUSHO....

Hujasema unaishi mji gani ama state gani, taja then nitakusaidia with hook up.
5 boy friends mmmmhhhh...unaonekana ni mama huruma and cheap!
Kuna watu kibao na shule zao na kazi poa sana na karatasi sio tatizo. Nadhani you are the problem!
 
Nafikiri mhusika aliyeandika hiyo article kwenye original blog kabla haijatua hapa alikuwa anatafuta makaratasi. Kubeba maboksi nayo ni kazi as long as humwibii mtu (unaishi kwa jasho lako). Kuna watanzania wengi tu huko US ambao wanafanya kazi hadi kwenye idara nyeti za serikali ya US. Inaonekana huyo mwandishi alikuwa anapenda kutembelea kwenye vijiwe vya kuwaongea watu na kujua nani ana degree, masters au makaratasi.

Kazi kweli pale relationship inapo-depend on how much money you make or una makaratasi.
 
SASA NATAKA KURUDI NYUMBANI NA KUANZA MAISHA YANGU HUKO KABISA, NA KUWA NA HUYO KAKA. Mimi nina elimu yangu nzuri tuu nitapata masters yangu this dec. JE MUNAONA NI JAMBO LA MAANA?
Na kazi yako majuu yawaje? Au nawe ulikuwa unabeba maboksi ili kujisomesha..................tuambie ukweli hapo...............halafu sura ya huyo kijana mpya na kipato chake........vina uhusiano na mapenzi ya kweli? Mbona hutuambii kama tabia yake kwa undani ikoje...............Njoo lakini usitegeme mteremko hapa nyumbani......ingawaje..................there is no place like home............How I wish it was a palace instead of a place.........
 
Mimi ni mdada wa miaka 26 nakaa USA, nimekuwa sina bahati kabisa kupata kaka wa kitanzania huku USA ambae naweza kuna kwenye relationship naye zaidi hata ya miezi sita. Yaani huwa baada hata ya 4month au 3 narudi kuwa single tena. Hawa makaka wa kibongo huku USA wengi hawana la maana kabisa, hawana shule, hakuna makaratasi wala kazi ya maana unayoweza sema umechukulie seriously. So far nimekuwa na makaka wa kibongo 5 hapa USA na wote mwanzoni nilifikiri ni wa maana lakini nakuja kungudua wanadanganya, kazi zao, kiwango chao cha elimu wengine mpaka wanaishia kuniomba pesa mimi sababu hawana hata kazi. SASA NIMECHOKA KABISA NATAKA KUTAFUTA KAKA WA KIBONGO ALIYE HUKU NYUMBANI SITAKI TENA HAWA WABEBA MABOX WA HAPA KABISA. Kuna kaka fulani mbongo tumekuwa tukicommunicate nae na anaonekana kunipenda kabisa anakazi nzuri sana, very handsome na nilivyokuwa bongo mwaka huu July tulikula good time sana tuu. SASA NATAKA KURUDI NYUMBANI NA KUANZA MAISHA YANGU HUKO KABISA, NA KUWA NA HUYO KAKA. Mimi nina elimu yangu nzuri tuu nitapata masters yangu this dec. JE MUNAONA NI JAMBO LA MAANA?
Source ni: WAKAKA WA KIBONGO MAREKANI NI MIYEYUSHO....


Mimi nadhani ulilenga kutujulisha yafuatayo mama
1- kuwa uko kwa obama na haupo mavumbini kama Arusha
2- Umesoma maana hako ka Advanced Degree unakotegemea kukapata c mchezo
3- Kwamba umeshaadapt umarekani yaani kutoa bumbu na kupokea mhogo ni kawaida sana sasa kwako( ushahidi nivichwa vitano ulivyokula vya kibongo hatujui wa nchi nyingine ni wangapi)
4- Umeshaisha soko huko maana hupati tena wateja, hivyo unaweka kainvitation to treat kwa waswahili coz u karibu kurudi
5- kwamba hapa kwa Mkwere napo ushakamatiwa ila kwa sababu wewe ni mzee wa swaga hujali akijitokeza mwingine wakasaidiana na wa mwanzo
6- kwamba wewe kwako mapenzi, pesa na elimu vinafall under concurent jurisdiction

c dhani kama ulitaka jingine maana umejifagilia tu ktk thread yako
 
Mimi ni mdada wa miaka 26 nakaa USA, nimekuwa sina bahati kabisa kupata kaka wa kitanzania huku USA ambae naweza kuna kwenye relationship naye zaidi hata ya miezi sita. Yaani huwa baada hata ya 4month au 3 narudi kuwa single tena. Hawa makaka wa kibongo huku USA wengi hawana la maana kabisa, hawana shule, hakuna makaratasi wala kazi ya maana unayoweza sema umechukulie seriously. So far nimekuwa na makaka wa kibongo 5 hapa USA na wote mwanzoni nilifikiri ni wa maana lakini nakuja kungudua wanadanganya, kazi zao, kiwango chao cha elimu wengine mpaka wanaishia kuniomba pesa mimi sababu hawana hata kazi. SASA NIMECHOKA KABISA NATAKA KUTAFUTA KAKA WA KIBONGO ALIYE HUKU NYUMBANI SITAKI TENA HAWA WABEBA MABOX WA HAPA KABISA. Kuna kaka fulani mbongo tumekuwa tukicommunicate nae na anaonekana kunipenda kabisa anakazi nzuri sana, very handsome na nilivyokuwa bongo mwaka huu July tulikula good time sana tuu. SASA NATAKA KURUDI NYUMBANI NA KUANZA MAISHA YANGU HUKO KABISA, NA KUWA NA HUYO KAKA. Mimi nina elimu yangu nzuri tuu nitapata masters yangu this dec. JE MUNAONA NI JAMBO LA MAANA?
Source ni: WAKAKA WA KIBONGO MAREKANI NI MIYEYUSHO....



"titi la paka halifai kwa mtindi"
uyo dada kachakachuliwaaaaa nawabongo zaidi ya 5 na wabongo sio % kubwa USA ukilinganisha na nchi nyngine..
-hatujui wamarekani ni wangapi ambao ndio taifa lao..
-hatujui wadhungu kutoka nje ya USA ni wangapi...
-hatujui wanaotoka afrika ni wangapi(hapa hauna ubishi mana uwa wanasema "charity beggins at home")
-hatujui ni wangapi aliwaonea huruma......
-hatujui alichakachuliwa ma walimu wangapi hadi akafikia hiyo elimu aliyo nayo..ndomana mawazo yake ya kipumbavu

hatukutaki hata kwa bure narudia tena "titi la paka halifai kwa mtindi"
 
Mimi ni mdada wa miaka 26 nakaa USA, nimekuwa sina bahati kabisa kupata kaka wa kitanzania huku USA ambae naweza kuna kwenye relationship naye zaidi hata ya miezi sita. Yaani huwa baada hata ya 4month au 3 narudi kuwa single tena. Hawa makaka wa kibongo huku USA wengi hawana la maana kabisa, hawana shule, hakuna makaratasi wala kazi ya maana unayoweza sema umechukulie seriously. So far nimekuwa na makaka wa kibongo 5 hapa USA na wote mwanzoni nilifikiri ni wa maana lakini nakuja kungudua wanadanganya, kazi zao, kiwango chao cha elimu wengine mpaka wanaishia kuniomba pesa mimi sababu hawana hata kazi. SASA NIMECHOKA KABISA NATAKA KUTAFUTA KAKA WA KIBONGO ALIYE HUKU NYUMBANI SITAKI TENA HAWA WABEBA MABOX WA HAPA KABISA. Kuna kaka fulani mbongo tumekuwa tukicommunicate nae na anaonekana kunipenda kabisa anakazi nzuri sana, very handsome na nilivyokuwa bongo mwaka huu July tulikula good time sana tuu. SASA NATAKA KURUDI NYUMBANI NA KUANZA MAISHA YANGU HUKO KABISA, NA KUWA NA HUYO KAKA. Mimi nina elimu yangu nzuri tuu nitapata masters yangu this dec. JE MUNAONA NI JAMBO LA MAANA?
Source ni: WAKAKA WA KIBONGO MAREKANI NI MIYEYUSHO....

rudi bongo. Tupo wa maana kweli!
 
Jane nakushukuru kwa kuwa wazi,ila angalia ucje ukawa wewe ndo tatizo,mapenzi yanapangwa na mola. Wewe unataka wenye fedha,elimu,handsome au? Maana unaleta utata kama unaachika kwa waume5. Averagely kila miaka 5 una mchumba mpya i.e u r 26,wachumba5 na mbongo wa july1. Pia wee mtu wa gudtym wala si muolewaji kama ulivodai unakula gudtym. Weka wazi,kama unataka vijisenti njoo bongo tutakuelekeza wenye magari mekundu wanapojirusha na vibinti vdogo kama wewe ila afta a year unaota vipele na tumbo kuhara,kama unataka mapenzi ya kweli sema ueleweke,mana wapo wengi. Kumbuka mastaz degree kwa sasa ni normal issue ucje bongo ukaisi utakimbiza,utakuwa si mgeni kielimu,ila ni heshima kuwa nayo lakini kwa sasa bongo ni kama kawaida ndo mana hata Cashier sasa bongo wanatangaza kazi wanaandika: first degree preferred,mastaz or cpa added advantage,so usiusishe elimu ktk mapenzi. Nakutakia mafanikio ktk kumsaka wa kiwango chako ila angalia 'usije ukampa mbu kazi ya kutibu malaria! '
 
Back
Top Bottom