Wakaka wa kibongo marekani ni miyeyusho....

mmmh,we nae wa5 wote bado unatest tu???
shauri zako unaharibu nanii bureee
 
Mimi ni mdada wa miaka 26 nakaa USA, nimekuwa sina bahati kabisa kupata kaka wa kitanzania huku USA ambae naweza kuna kwenye relationship naye zaidi hata ya miezi sita. Yaani huwa baada hata ya 4month au 3 narudi kuwa single tena. Hawa makaka wa kibongo huku USA wengi hawana la maana kabisa, hawana shule, hakuna makaratasi wala kazi ya maana unayoweza sema umechukulie seriously. So far nimekuwa na makaka wa kibongo 5 hapa USA na wote mwanzoni nilifikiri ni wa maana lakini nakuja kungudua wanadanganya, kazi zao, kiwango chao cha elimu wengine mpaka wanaishia kuniomba pesa mimi sababu hawana hata kazi. SASA NIMECHOKA KABISA NATAKA KUTAFUTA KAKA WA KIBONGO ALIYE HUKU NYUMBANI SITAKI TENA HAWA WABEBA MABOX WA HAPA KABISA. Kuna kaka fulani mbongo tumekuwa tukicommunicate nae na anaonekana kunipenda kabisa anakazi nzuri sana, very handsome na nilivyokuwa bongo mwaka huu July tulikula good time sana tuu. SASA NATAKA KURUDI NYUMBANI NA KUANZA MAISHA YANGU HUKO KABISA, NA KUWA NA HUYO KAKA. Mimi nina elimu yangu nzuri tuu nitapata masters yangu this dec. JE MUNAONA NI JAMBO LA MAANA?
Source ni: WAKAKA WA KIBONGO MAREKANI NI MIYEYUSHO....

Pole dada, je umejaribu UK? huku wabongo tumetulia, tunakamata na kuhifadhi, hatufanyi usanii wala hatubebi mabox.
 
Mrdash Pole dada, je umejaribu UK? huku wabongo tumetulia, tunakamata na kuhifadhi, hatufanyi usanii wala hatubebi mabox

Huyu Habebeki kaka.
Dada wa watu kachakachuliwa mpaka hana hamu. Tatizo lake anatanguliza elimu yake kwenye kutafuta mchumba, hata kama ni mchumba msomi atakuona limbukeni na hujatulia. Wewe kwenda marekani na kusoma shule ndo umeona uwazalau ambao hawajaenda shule?, shule ni kwa manufaa yako na siyo kuwalingishia watu. Kwa dunia ya leo elimu yako ya darasani siyo kigezo saana katika kupata kazi, je unaweza kuitetea kwa mwajiri? Masters ndo unalingishia? Watu wana PhD hawasemi, wewe unaona deal. Upo hapo US ni unaweza ukajidhihirishia mwenyewe kuna CEO wengi tu wa makampuni makubwa hawana hata hiyo Masters? Mbona kuna vijana wengi tu huko wanaelimu zao na wana kazi nzuri, inamaana hao utatwambiaje, hawajasoma na wanabeba mabox? Kwa harakax2 nakuona kuwa umesoma ila hujastaarabika ndo maaana unamegwa na kuachwa.Na hata kama ukirudi hapa nyumabni kama ndo gia yako ya shule hiyo utaishiwa kumegwa tu na kuendelea na mfadhaiko wa maisha ya kutafuta wanaume wa kukuowa.


Kwa hiyo Idadi uloitowa ya wanaume uliyowadate japo unaweza ukawa umeipunguza na hapo ni huko US tu je hapa Bongo ulikuwa na wangapi? Chuoni? Kama maumbile ya kike yangekuwa yanaacha alama au yanaishia kama kiatu, ungefikia umri wa 40s soli ya maumbile yako imepinda. Kwakweli wanaume tuna kazi, huyu umuweke ndani bila kujuwa background lasivyo unaweza ukavua pete na kushikwa na BP ukijajuwa.
 
Mimi ni mdada wa miaka 26 nakaa USA, nimekuwa sina bahati kabisa kupata kaka wa kitanzania huku USA ambae naweza kuna kwenye relationship naye zaidi hata ya miezi sita. Yaani huwa baada hata ya 4month au 3 narudi kuwa single tena. Hawa makaka wa kibongo huku USA wengi hawana la maana kabisa, hawana shule, hakuna makaratasi wala kazi ya maana unayoweza sema umechukulie seriously. So far nimekuwa na makaka wa kibongo 5 hapa USA na wote mwanzoni nilifikiri ni wa maana lakini nakuja kungudua wanadanganya, kazi zao, kiwango chao cha elimu wengine mpaka wanaishia kuniomba pesa mimi sababu hawana hata kazi. SASA NIMECHOKA KABISA NATAKA KUTAFUTA KAKA WA KIBONGO ALIYE HUKU NYUMBANI SITAKI TENA HAWA WABEBA MABOX WA HAPA KABISA. Kuna kaka fulani mbongo tumekuwa tukicommunicate nae na anaonekana kunipenda kabisa anakazi nzuri sana, very handsome na nilivyokuwa bongo mwaka huu July tulikula good time sana tuu. SASA NATAKA KURUDI NYUMBANI NA KUANZA MAISHA YANGU HUKO KABISA, NA KUWA NA HUYO KAKA. Mimi nina elimu yangu nzuri tuu nitapata masters yangu this dec. JE MUNAONA NI JAMBO LA MAANA?
Source ni: WAKAKA WA KIBONGO MAREKANI NI MIYEYUSHO....

Hata angekua Yesu lazima angemmwaga huyo dada, she is shallow na anaonekana lengo lake ni kuchuma matunda wanayotunza wengine... she is not worth a time

Reason: kashindwa kuweka habari vyema, namuonea huruma na huyo wa bongo, ukiondoa handsome, hakuna la ziada alilosema

eish:nono:
 
Nasikitika kusema huyu dada ni flag bearer wa akina adada wengi sana wanaoondoka nchiki siku hizi wakiteemea greener pasture

wengi kwelikweli
 
Rudi tu home mama, ni jambo zuri sana. Maana ulienda kusoma huko na kutegemea kumpata jamaa wa kulowea naye. ulianza na wenyeji ukashindwana nao, ukaamua kuhamia kwa wabongo japo wenye makaratasi ulowee kwa kupitia kwao nao wakakushtukia wakalala mbele. basi rudi tu home kama malengo ya huko yameshindikana.
 
Mimi ni mdada wa miaka 26 nakaa USA, nimekuwa sina bahati kabisa kupata kaka wa kitanzania huku USA ambae naweza kuna kwenye relationship naye zaidi hata ya miezi sita. Yaani huwa baada hata ya 4month au 3 narudi kuwa single tena. Hawa makaka wa kibongo huku USA wengi hawana la maana kabisa, hawana shule, hakuna makaratasi wala kazi ya maana unayoweza sema umechukulie seriously. So far nimekuwa na makaka wa kibongo 5 hapa USA na wote mwanzoni nilifikiri ni wa maana lakini nakuja kungudua wanadanganya, kazi zao, kiwango chao cha elimu wengine mpaka wanaishia kuniomba pesa mimi sababu hawana hata kazi. SASA NIMECHOKA KABISA NATAKA KUTAFUTA KAKA WA KIBONGO ALIYE HUKU NYUMBANI SITAKI TENA HAWA WABEBA MABOX WA HAPA KABISA. Kuna kaka fulani mbongo tumekuwa tukicommunicate nae na anaonekana kunipenda kabisa anakazi nzuri sana, very handsome na nilivyokuwa bongo mwaka huu July tulikula good time sana tuu. SASA NATAKA KURUDI NYUMBANI NA KUANZA MAISHA YANGU HUKO KABISA, NA KUWA NA HUYO KAKA. Mimi nina elimu yangu nzuri tuu nitapata masters yangu this dec. JE MUNAONA NI JAMBO LA MAANA?
Source ni: WAKAKA WA KIBONGO MAREKANI NI MIYEYUSHO....

namuunga mkono huyo dada si Marekani tu kiujumla wanaume wa kitz walionje ya nchi aslimia kubwa ni hovyo,bora ukamate mpopo uhangaike naye kula EGUSI
 
Mimi ni mdada wa miaka 26 nakaa USA, nimekuwa sina bahati kabisa kupata kaka wa kitanzania huku USA ambae naweza kuna kwenye relationship naye zaidi hata ya miezi sita. Yaani huwa baada hata ya 4month au 3 narudi kuwa single tena. Hawa makaka wa kibongo huku USA wengi hawana la maana kabisa, hawana shule, hakuna makaratasi wala kazi ya maana unayoweza sema umechukulie seriously. So far nimekuwa na makaka wa kibongo 5 hapa USA na wote mwanzoni nilifikiri ni wa maana lakini nakuja kungudua wanadanganya, kazi zao, kiwango chao cha elimu wengine mpaka wanaishia kuniomba pesa mimi sababu hawana hata kazi. SASA NIMECHOKA KABISA NATAKA KUTAFUTA KAKA WA KIBONGO ALIYE HUKU NYUMBANI SITAKI TENA HAWA WABEBA MABOX WA HAPA KABISA. Kuna kaka fulani mbongo tumekuwa tukicommunicate nae na anaonekana kunipenda kabisa anakazi nzuri sana, very handsome na nilivyokuwa bongo mwaka huu July tulikula good time sana tuu. SASA NATAKA KURUDI NYUMBANI NA KUANZA MAISHA YANGU HUKO KABISA, NA KUWA NA HUYO KAKA. Mimi nina elimu yangu nzuri tuu nitapata masters yangu this dec. JE MUNAONA NI JAMBO LA MAANA?
Source ni: WAKAKA WA KIBONGO MAREKANI NI MIYEYUSHO....

Yaani wewe wabeba mabox wamechakachua weeeeee hadi sasa 5-bila ndio unataka urudishe makapi nyumbani? Tulia hukohuko maana utapata frustration zaidi!
 
Alishawahi kuwa na wa 5 kwa muda gani? na anadai kila after 4/5 months kibuti so ndani ya mwaka ashabadili 4 hivi na siajabu kakata ukali wa manenoi mimi namuongezea ndani ya mwaka 7 hao ni permanent bado wale wa fasta fasta, mh ndio maana watu wengine hawaaoi kwa hali kama hii mtu unaweza kuuoa ukajapata background ya mkeo ukazimia. kweli kuna watu used duniani.

Dah hayo maneno yameniacha mbavu sina lol!
 
Back
Top Bottom