Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,602
- 4,266
Sidhani kama inayo maana hii ni zile za korea sijui china za 4g zileeeeIfanyie reset alafu tafuta mtu akukonect na wi-fi ucheki kama ina software updates
Ahahahaha sawa mkuuichemshe kwenye maji ya baridi itakua poa==>> heat it inside cold water..
Jaribu kuna zingine huwa zinakubaliSidhani kama inayo maana hii ni zile za korea sijui china za 4g zileeee
Sawa mkuuJaribu kuna zingine huwa zinakubali
Kweli kabisa bwana mzee... ahahahahwewr mzee wa kale kabisa hayo mambo ya mkorea na mchina ungewaachia vijana wa sasa kabisa.
wewe ungekua zako na BlackBerry hayo yasingekukuta
probably cache zinajifuta hivyo kupelekea simu ikiwaka inaanza upya kuload apps, hali hii hutokea simu inapojizima ghafla kwa kuisha charge, ama battery lisilo zuri ama sababu ifananiayo.Hii ni note 5 imeanza hilo tatizo kama week mbili sasa niki restart au kuiwasha kawaida huwa inaganda hapo kama dak 15 hivi then inawaka kawaida... msaada kwa anaejua shida ni nini
Ni hivyo hivyo tu hataka ikiwa full mkuu, kuna sehemu nilisoma ila ndio sikuweza kuelewa unaomyesha kama kuna app inabdi itoke humuprobably cache zinajifuta hivyo kupelekea simu ikiwaka inaanza upya kuload apps, hali hii hutokea simu inapojizima ghafla kwa kuisha charge, ama battery lisilo zuri ama sababu ifananiayo.
ikiwa asilimia kama 90 ukizima simu na kuwasha inaleta hio msg?
Press power button na voice down kwa pamoja mpaka izime kisha itajiwasha yenyewe ama utafuata maelezo yatakayofuataHii ni note 5 imeanza hilo tatizo kama week mbili sasa niki restart au kuiwasha kawaida huwa inaganda hapo kama dak 15 hivi then inawaka kawaida... msaada kwa anaejua shida ni nini
Sawa mkuu ngoja nijaribu japo nimejisahau kuweka jina kamili hii ni samsung note 5 sio infinixPress power button na voice down kwa pamoja mpaka izime kisha itajiwasha yenyewe ama utafuata maelezo yatakayofuata
Infinix zipo za aina 2 copy na OG, copy zinasumbua na kwakuwa ni toleo geni watu bado hawajajua kutofautisha
Mara nyingi OG maandishi yake ya Infinix yako engraved, wakati copy ni ya kuprint ama kubandika
Sawa piaSawa mkuu ngoja nijaribu japo nimejisahau kuweka jina kamili hii ni samsung note 5 sio infinix