Kyenyabasa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 249
- 711
Wakuu habari za muda?
Nataka kujiunga na Jeshi la Magereza lakini kabla sijachukua uamuzi nimejaribu kudodosa maslahi nitakayopata nikiwa Askari Magereza. Baada ya dodoso langu nimeambiwa yafuatayo;
- Mshahara 590000 kwa form 4 leaver anayeanza kazi.
- Posho ya chakula 300,000 kwa mwezi.
- Posho ya vinywaji 100,000 kwa mwezi.
- Umeme na maji bure na haki za kujiendeleza kimasomo.
Wakuu naomba kama mnajua lolote kuhusu hayo niliosema mniongoze, pengine naweza kuwa nimedanganywa nikajikuta najuta. Ikumbukwe mimi ni form 4 leaver, je, kipato hicho kinaweza kufaa katika maisha yetu ya Kitanzania?
Nataka kujiunga na Jeshi la Magereza lakini kabla sijachukua uamuzi nimejaribu kudodosa maslahi nitakayopata nikiwa Askari Magereza. Baada ya dodoso langu nimeambiwa yafuatayo;
- Mshahara 590000 kwa form 4 leaver anayeanza kazi.
- Posho ya chakula 300,000 kwa mwezi.
- Posho ya vinywaji 100,000 kwa mwezi.
- Umeme na maji bure na haki za kujiendeleza kimasomo.
Wakuu naomba kama mnajua lolote kuhusu hayo niliosema mniongoze, pengine naweza kuwa nimedanganywa nikajikuta najuta. Ikumbukwe mimi ni form 4 leaver, je, kipato hicho kinaweza kufaa katika maisha yetu ya Kitanzania?