Wajumbe wa bunge la katiba kumbukeni mnawawakilisha watanzania siyo vyama vya siasa.!

yohana charles

Senior Member
Mar 21, 2013
134
10
Bunge maalum la katiba linaloanza wiki hii mjini Dodoma ni muendelezo wa harakati za kupata katiba mpya itakayokuwa msingi kwa kizazi cha leo na kijacho kwa takriban miaka 50 ijayo.. Wito wetu kwenu wajumbe wa bunge la katiba ni kwamba kumbukeni mpo Dodoma kwa ajili ya kazi mliyotumwa na watanzania...mapendekezo na matakwa ya watanzania ndio yanatakiwa yatimizwe na siyo misimamo ya vyama...tambueni siku zote mtakazokuwa Dom mnaishi kwa kodi za watanzania na siyo vyama vyenu....KUMBUKENI VYAMA VINAPITA LAKINI TANZANIA ITAKUWEPO HATA MWISHO WA DUNIA...TANZANIA KWANZA VYAMA BAADAYE.!
 
Hebu tufahamishe uelewa wako kuhusu "vyama vya siasa" na "misimamo ya vyama" ili nasi tuone na kuelewa jinsi vyama vinavyokinzana na "matakwa ya Watanzania".
 
Bunge maalum la katiba linaloanza wiki hii mjini Dodoma ni muendelezo wa harakati za kupata katiba mpya itakayokuwa msingi kwa kizazi cha leo na kijacho kwa takriban miaka 50 ijayo.. Wito wetu kwenu wajumbe wa bunge la katiba ni kwamba kumbukeni mpo Dodoma kwa ajili ya kazi mliyotumwa na watanzania...mapendekezo na matakwa ya watanzania ndio yanatakiwa yatimizwe na siyo misimamo ya vyama...tambueni siku zote mtakazokuwa Dom mnaishi kwa kodi za watanzania na siyo vyama vyenu....KUMBUKENI VYAMA VINAPITA LAKINI TANZANIA ITAKUWEPO HATA MWISHO WA DUNIA...TANZANIA KWANZA VYAMA BAADAYE.!

Kweli.
 
Back
Top Bottom