TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau..!!
Mambo yamekuwa magumu maana wife anatafuta nafasi ya internship au kazi ya kufundisha masomo ya lugha kwa DsM.
Mwenye connection ya kibabe tuyajenge ,maana mjini hapa kama hauna connection hata kwenye msiba unaweza usile.
Nawaombeni wadau tusaidiane kwenye hili jamani,maana anatia huruma amekuwa kama mlinzi wa geti nikiondoka asubuhi namuacha nikirudi namkuta.
Mambo yamekuwa magumu maana wife anatafuta nafasi ya internship au kazi ya kufundisha masomo ya lugha kwa DsM.
Mwenye connection ya kibabe tuyajenge ,maana mjini hapa kama hauna connection hata kwenye msiba unaweza usile.
Nawaombeni wadau tusaidiane kwenye hili jamani,maana anatia huruma amekuwa kama mlinzi wa geti nikiondoka asubuhi namuacha nikirudi namkuta.