Wajumbe kumkomoa JK, kumpa ulaji Magufuli

Wajumbe kumkomoa JK, kumpa ulaji Magufuli

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,814
Reaction score
46,937
Hata mdogo wangu wangu wa miaka 10 ameniambia eti mbona katika hao watano its quite obvious kwamba Magufuli anaula.

Nikamwambia no! kiranja alishamteua membe na hakuna jinsi!
 
kwa kumuingiza membe kwenye tano chafu na kumuacha mamvi,jk kaonyesha jinsi alivyo mweupe kichwani kimkakati...eti mnyoa para mwizi wa mitihani yumo kwenye tano chafu!!!!!!!!
 
Huyo Mburushi ni mtumishi wa Caspian ya Rostam Aziz. .. wanaonekana pichani wamo Fadhili Ngajiro; Ole Porokwa; Omar Ng'wanang'wala na hapo ni hotelini St Gasper kambi ya Lowassa ambapo Leo waliwaita wajumbe kuwapa pesa wasusie NEC ama kufanya fujo na plan B awe Magufuli. Same place Kingunge alifanya press
Porokwa Katibu CCM Manyara na msaidizi wa Lowassa.
HAYO NDIYO MAELEZO YA ZILE PICHA ZA MUHINDI ALIYEKAMATWA NA MIHELA. Team Lowassa wanajipanga kumsupport Magufuli. Hili movie ni kiboko.
Kama wanajipanga kumuunga mkono Magufuli kwa lengo la kunusuru chama hakuna tatizo. Il kama wanafanya hivyo kwa lengo la kutekeleza matakwa yao ya kifisadi hapo hapana
 
Nikwamba hata magufuli akishinda kwenye box la kura lakini wataenda kumshawishi amwachie membe then yeye awe wazir mkuu, alafu asubiri 10yrs ojayo
Hahahahahahahaaaaaaaa! Si rahisi kihivyo. Magufuli hawezi kukubali. Mtu ambaye anauzika zaidi ni Magufuli na si Membe
 
Watu wa EL toka pande zote wanamiminika Dom kukinukisha wanaitwa na wajumbe

Hali sii shwari Dodoma

Taarifa zilipatikana hivi punde ni kuwa maelfu ya watu wa kambi ya lowassa wamewasili dodoma na wengine wengi njiani kuelekea dodoma kupinga jina la lowassa kufutwa hasa baada ya hofu kuenea. Inadaiwa kwamba watapinga kwa njia yeyote maandamano au kwa fujo.

Taarifa za kiusalama zinadai hali itakuwa mbaya sana wakikata jina la mgombea huyo kwani wanamtandao wa Lowassa wanaendelea kukusanya watu kutoka mikoa ya karibu! Hali hii imezidi kuwa mbaya zaidi baada ya kikao kufanyika leo na kuazimia kutumia uma uliojitokeza kumdamini kupambana na kuapa kuwa hata polisi hawataweza zuia umati huo kufanya chochote. Pia uraibu wa maandamano na vurugu nchi nzima unaratibiwa usikuu huu na kufikia kesho wameapa kulipua nchi.

Hali hii imefanya kuwepo vikao vingi vya kutafuta sluu na kusababisha uoga wa kutangaza majina. Vikao hiv vimekuwa vigumu kwani Lowassa amefichwa na kundi lake na simu zake zimezimwa, amekataa katu katu kuonana na kuzungumza na viongozi na wajumbe waliotumwa kwake.

Nimetumiwa kwa sms hv punde
 
Watu wa EL toka pande zote wanamiminika Dom kukinukisha wanaitwa na wajumbe

Hali sii shwari Dodoma

Taarifa zilipatikana hivi punde ni kuwa maelfu ya watu wa kambi ya lowassa wamewasili dodoma na wengine wengi njiani kuelekea dodoma kupinga jina la lowassa kufutwa hasa baada ya hofu kuenea. Inadaiwa kwamba watapinga kwa njia yeyote maandamano au kwa fujo.

Taarifa za kiusalama zinadai hali itakuwa mbaya sana wakikata jina la mgombea huyo kwani wanamtandao wa Lowassa wanaendelea kukusanya watu kutoka mikoa ya karibu! Hali hii imezidi kuwa mbaya zaidi baada ya kikao kufanyika leo na kuazimia kutumia uma uliojitokeza kumdamini kupambana na kuapa kuwa hata polisi hawataweza zuia umati huo kufanya chochote. Pia uraibu wa maandamano na vurugu nchi nzima unaratibiwa usikuu huu na kufikia kesho wameapa kulipua nchi.

Hali hii imefanya kuwepo vikao vingi vya kutafuta sluu na kusababisha uoga wa kutangaza majina. Vikao hiv vimekuwa vigumu kwani Lowassa amefichwa na kundi lake na simu zake zimezimwa, amekataa katu katu kuonana na kuzungumza na viongozi na wajumbe waliotumwa kwake.

Nimetumiwa kwa sms hv punde

Mola nusuru Nchi yetu kutoka kwenye Ugomvi wa Wezi waliodhulumu Maskini, wajane, mayatima, walemavu n.k kisha wao kwa wao wakageukana kwenye Makubaliano yao Haramu
 
Mie naona wanahangaika bure maana Rais hatatoka CCM kizazi hiki. Labda wanatafuta atakaye ridhi Uenyekiti wa chama ili akijenge upya maana kwa hakika dhoruba hii imetengeneza nyufa nyingi na zingine ni beyond repair.
 
Watu wa EL toka pande zote wanamiminika Dom kukinukisha wanaitwa na wajumbe

Hali sii shwari Dodoma

Taarifa zilipatikana hivi punde ni kuwa maelfu ya watu wa kambi ya lowassa wamewasili dodoma na wengine wengi njiani kuelekea dodoma kupinga jina la lowassa kufutwa hasa baada ya hofu kuenea. Inadaiwa kwamba watapinga kwa njia yeyote maandamano au kwa fujo.

Taarifa za kiusalama zinadai hali itakuwa mbaya sana wakikata jina la mgombea huyo kwani wanamtandao wa Lowassa wanaendelea kukusanya watu kutoka mikoa ya karibu! Hali hii imezidi kuwa mbaya zaidi baada ya kikao kufanyika leo na kuazimia kutumia uma uliojitokeza kumdamini kupambana na kuapa kuwa hata polisi hawataweza zuia umati huo kufanya chochote. Pia uraibu wa maandamano na vurugu nchi nzima unaratibiwa usikuu huu na kufikia kesho wameapa kulipua nchi.

Hali hii imefanya kuwepo vikao vingi vya kutafuta sluu na kusababisha uoga wa kutangaza majina. Vikao hiv vimekuwa vigumu kwani Lowassa amefichwa na kundi lake na simu zake zimezimwa, amekataa katu katu kuonana na kuzungumza na viongozi na wajumbe waliotumwa kwake.

Nimetumiwa kwa sms hv punde

Kaka huelewi, JK yuko smart sana na hii gem kaicheza kimakini sana...mteule ni Pombe Magufuli.
 
kwa kumuingiza membe kwenye tano chafu na kumuacha mamvi,jk kaonyesha jinsi alivyo mweupe kichwani kimkakati...eti mnyoa para mwizi wa mitihani yumo kwenye tano chafu!!!!!!!!

He he mtamuonea
 
Kama wanajipanga kumuunga mkono Magufuli kwa lengo la kunusuru chama hakuna tatizo. Il kama wanafanya hivyo kwa lengo la kutekeleza matakwa yao ya kifisadi hapo hapana

Itajulikana tu
 
Mola nusuru Nchi yetu kutoka kwenye Ugomvi wa Wezi waliodhulumu Maskini, wajane, mayatima, walemavu n.k kisha wao kwa wao wakageukana kwenye Makubaliano yao Haramu

Kakusikia
 
Back
Top Bottom