GE2025 Wajumbe katika uchaguzi wa wabunge wa Viti Maalum kupitia kundi la vijana wa UVCCM wamewachagua wagombea sita akiwemo Jesca John Magufuli kuwa wabunge

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,188
Reaction score
9,165
Wajumbe katika uchaguzi wa wabunge wa Viti Maalum kupitia kundi la vijana wa UVCCM wamewachagua wagombea sita akiwemo Jesca John Magufuli kuwa wabunge wa Viti Maalum kupitia kundi hilo kwa Tanzania bara.

Katika matokeo yaliyotangazwa alfajiri ya leo, Agosti 2, 2025, kwa upande wa Tanzania Bara zilipigwa jumla ya kura 2466 ambapo washindi ni Ng'wasi Kamani aliyeongoza kwa kura 409 akifuatiwa na Jesca Magufuli aliyepata kura 391, Halima Bulembo kura 320, Lulu Mwacha kura 316, Juliana Masaburi kura 282 na Timida Mpoki kura 280.

Uchaguzi huo umefanyika kuanzia Agosti 01, 2025 na kumalizika Agosti 02, 2025 Mtumba, Jijini Dodoma.
 

Attachments

  • Screenshot_2025_0802_085441.jpg
    196.6 KB · Views: 19
Nauliza Juliana Masaburi kaka yake ndio Masaburi anayegombea Kivule? Na mama yake alishawahi kuwa viti maalum kupitia CCM na baba yake alikuwa meya wa jiji la Dar es Salaam.. Au ni majina yamefanana.
 
Nauliza Juliana Masaburi kaka yake ndio Masaburi anayegombea Kivule? Na mama yake alishawahi kuwa viti maalum kupitia CCM na baba yake alikuwa meya wa jiji la Dar es Salaam.. Au ni majina yamefanana.
Ndio hao familia moja...wamiliki chuo cha procurement chanika
 
Nauliza Juliana Masaburi kaka yake ndio Masaburi anayegombea Kivule? Na mama yake alishawahi kuwa viti maalum kupitia CCM na baba yake alikuwa meya wa jiji la Dar es Salaam.. Au ni majina yamefanana.
Upo sahihi
 
Nauliza Juliana Masaburi kaka yake ndio Masaburi anayegombea Kivule? Na mama yake alishawahi kuwa viti maalum kupitia CCM na baba yake alikuwa meya wa jiji la Dar es Salaam.. Au ni majina yamefanana.
Familia moja msubhati amang'ana namakong'u
 
Nauliza Juliana Masaburi kaka yake ndio Masaburi anayegombea Kivule? Na mama yake alishawahi kuwa viti maalum kupitia CCM na baba yake alikuwa meya wa jiji la Dar es Salaam.. Au ni majina yamefanana.
Ndiyo huyo.....hii ni nchi ya kifalme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…