The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,206
- 17,359
Yaani hiki kitendo cha kuitisha mikutano mitatu kwa siku moja yaani Kamati Kuu, Halimashauri kuu na Mkutano Mkuu ni dharau kwa Wajumbe na Wanachama wa CCM. Kwa mani yangu kinachofanyika hapa ni kikundi fulani kuleta agenda yao ili vikao halali vya chama ivipitishe. On top of that hata hayo mabadiliko hawajaambiwa ili wajiandae mpaka wakati wa Mkutano. Huko ni kuviziwa. Hii siyo sawa hata kama ni jambo zuri. Wajumbe wana haki yakujadili kwa uwazi.