kama tulivyoelezwa hapa jamvini leo, wale nguli walioalikwa kuja kuwapiga msasa wajumbe wa wa bunge la katiba walikuwa ni pamoja na omar mapuri, msekwa na kutoka nje ya nchi ni amos wako. nimefurahishwa sana kwa jinsi sita alivyopokea mawazo ya wengi na kuwaondoa wanapropaganda akina mapuri na msekwa, ingawa ingekuwa ni uwezo wangu angalua msekwa angeruhusiwa.
hofu yangu ni huyu ngulu mwingine aitwaye amos wako, mwanasherisa mkuu wa zamani wa kenya, ambaye alifanya kazi wakati kenya ikiwa kwenye mchakacho wa katiba unaolandana na siyo kufanana na huu wa kwetu.
mtakumbuka jinsi wako alivyoharibu rasimu ya kwanza ya katiba ya kenya kwa tabia yake ya kujikomba kwa kibaki, kitu kilichoelekea waanchi kuipigia kura ya hapana rasimi hiyo. kama siyo watu mahirikama profeso patrice odhiambo lumumba wakenya leo wasingekuwa hapa walipo. nani asiyejua kuwa uhusiano wa amos wako na andrew chenge ni mkubwa sana kwa kuwa wote walikuwa wanasheria wakuu wakati huo? kwa hiyo yawezekana huu ni mwaliko wa chenge na wala siyo sita!
kwa amos wako hapa siyo kenya, ukileta ule ujinga wa ukuu wa watawala iliupotoshe mchakacho wetu utajikuta unatolewa mzobe mzobe kwa kuwa kuna wajumbe wameapa kulinda mchakacho huu.
hofu yangu ni huyu ngulu mwingine aitwaye amos wako, mwanasherisa mkuu wa zamani wa kenya, ambaye alifanya kazi wakati kenya ikiwa kwenye mchakacho wa katiba unaolandana na siyo kufanana na huu wa kwetu.
mtakumbuka jinsi wako alivyoharibu rasimu ya kwanza ya katiba ya kenya kwa tabia yake ya kujikomba kwa kibaki, kitu kilichoelekea waanchi kuipigia kura ya hapana rasimi hiyo. kama siyo watu mahirikama profeso patrice odhiambo lumumba wakenya leo wasingekuwa hapa walipo. nani asiyejua kuwa uhusiano wa amos wako na andrew chenge ni mkubwa sana kwa kuwa wote walikuwa wanasheria wakuu wakati huo? kwa hiyo yawezekana huu ni mwaliko wa chenge na wala siyo sita!
kwa amos wako hapa siyo kenya, ukileta ule ujinga wa ukuu wa watawala iliupotoshe mchakacho wetu utajikuta unatolewa mzobe mzobe kwa kuwa kuna wajumbe wameapa kulinda mchakacho huu.