Picha inaonesha alizawila 1762 na kufariki 1862 hapo pana karne tatu?Kwa Tanzania juzijuzi kuna babu katangazwa kuwa ana miaka 120 ila tatizo hakuna vielelezo ndo tatizo la Watanzania na Afrika kwa ujumla kutotunza kumbukumbu mfano hata aliyebuni nembo ya Taifa eti hajulikani ni aibu.......
Najua vijijini kuna vikongwe kibao vimejaa tele ila havina vyeti vya kuzaliwa
Sasa leo nakuletea watu kumi ambao wanajulikana kutokana na Mungu kuwajalia kula chumvi nyingi a.k.a vikongwe/wazee
Yaani wazee 10 wa muda wote
Kuzeeka ni baraka....kuishi kwingi ni kuona mengi
Njia pekee ya mtu kuukwepa uzee ni kufa mapema akiwa kijana
............................................. .............................
10/Margaret Ann Neve
Bibi huyu Alizaliwa mnamo mwaka 1792
Alikuwa ndiye mwanamke mzee zaidi duniani hadi kipindi alipofariki
Umri wake ulithibitika pia kitaalamu kwa kutumia Medical technology
Huyu bibi alijaaliwa kuishi karne tatu yaani karne ya 18,19 na 20 na ndiye binadamu pekee aliyekuwa na kumbukumbu safi kabisa za mambo yaliyojiri karne ya 18,19 & 20
Alifariki mnamo mwaka 1903 akiwa na umri wa miaka 110 na siku 321
Nimemweka kutokana na sababu za hapo juu(kuishi karne 3)
Mkuu nakushauri upunguze kula maharage.......rudia kwenye ile picha kwa umakini utagundua maneno mengine kwa chini ndiyo yanahusikaPicha inaonesha alizawila 1762 na kufariki 1862 hapo pana karne tatu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilidhani nimeona mwenyewe mkuu. Imebd mpaka nikagoogle.Sio Karne tatu mbona unakimuemue wakati alikufa namiaka 110ambayo ni Karne moja yaani miaka Mia na katheluthi usiclaim.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unasoma na kuelewa na sio kujifanya mjuaji wakati hujaelewa kitu
Nimeandika kaishi kane 3 yaani kazaliwa karne ya 18 na kufariki karne ya 20
Na sijasema umri wake ni sawa na karne 3..........
na hata jina napendekeza liwe konyagi book of records,tuwauwe zaidi😀😀😀Inabidi tuanzishe Cuinness Book ya kiafrika tuache kutegenea wazungu
Ila siku hizi tushaendelea nafikiri baada ya miaka 50 Waafrika watakaovuka miaka 100 hawawezi kukosa kuwa na vyeti vya kuzaliwa bivyo mzungu kazi anayo
Hata mimi nikawa najiuliza swali hilohilo vinginezo heading sijui itamkajeMbona Adam sijamuona, yule si aliishi zaidi ya miaka 900+
Hilo ni suala la kiimani......Hata mimi nikawa najiuliza swali hilohilo vinginezo heading sijui itamkaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaandika kwa kusoma biblia.....Mbona Adam sijamuona, yule si aliishi zaidi ya miaka 900+
Itapendeza...na hata jina napendekeza liwe konyagi book of records,tuwauwe zaidi
Hao hawana vyeti vya kuzaliwa.Mbona simuoni Musa na Nuhu, Adam, Enock
Inawezekana mkuu tatizo waliozaliwa miaka minfi ya zamani (1800s & 1900s) hawana vyeti vya uthibitishoKuna Bibi kafariki mtaani hapa ana 131 na inasemekana wapo pia wenye more than hiyo
Nahisi ngozi nyeusi (Waafrika) ndio watu pekee wanaoishi na umri mkubwa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana mkuu tatizo waliozaliwa miaka minfi ya zamani (1800s & 1900s) hawana vyeti vya uthibitisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo wengi tu vijijini hata wenye miaka 120Ukitaka kujua zamani ilikuwa shida mpaka sasa miaka ya hapa laribuni,,ona foleni Nida,,kiukweli wazee wapo wameishi miaka mingi tu,,bib yangu ni mzee sana lakini bado anakumbukumbu kiasi anakadiriwa kuwa na miaka 110+
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimezungumzia kuishi karne 3 na sio kwamba umri wake ni sawa na karne 3 (kazaliwa karne ya 18, kafariki karne ya20)Karne ina miaka mingap na kutoka 1792 had 1892 nimiaka 117??
Nimezungumzia kuishi karne 3 na sio kwamba umri wake ni sawa na karne 3 (kazaliwa karne ya 18, kafariki karne ya20)
Umenielewa ?
Sent using Jamii Forums mobile app