Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,538
- Thread starter
- #61
Mbona ni rahisi tu kuelewa nilchomaainisha mkuuHivyo vitabu vya kumbukumbu usemavyo,.una uhakika gani havikutungwa??
Basi niletee japo picha ya hao watu walioandikwa kwnye vitabu vya dini waliishi miaka 1000
Nimesema hizo ni hadithi tu