Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,681
- 11,122
Habari za wakatii huu wadau.
Nimeipata sehemwu nikaona sio mbaya nijashea nanyi mkupata kujua wanawake walivyo watu wa ajabu....
1. Anaevaa mini-skirt halafu akikaa mahali anahangaika kujiziba magoti huyo nae ni.....Taahira!
2. Anaetoa mimba kisha analala na midoli huyo nae ni....Taahira!
3. Anaedate na mume wa m2 miaka nenda rudi, na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo nae ni..........Taahira!
4. Anaeweka nywele bandia, kucha bandia,kope bandia akiambiwa amependeza anasema Ahsante, huyo nae ni......Taahira!
5. Mwanamke ambae hamilik hata kitanda lakin anataka mwanaume mwenye gari huyo nae ni....Taahira!
6. Atakaesoma post hii kisha akatoa mapovu badala ya kubadilika wakati anaelimishwa huyo nae ni......Taahira.
Nawakilisha
God save us
Nimeipata sehemwu nikaona sio mbaya nijashea nanyi mkupata kujua wanawake walivyo watu wa ajabu....
1. Anaevaa mini-skirt halafu akikaa mahali anahangaika kujiziba magoti huyo nae ni.....Taahira!
2. Anaetoa mimba kisha analala na midoli huyo nae ni....Taahira!
3. Anaedate na mume wa m2 miaka nenda rudi, na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo nae ni..........Taahira!
4. Anaeweka nywele bandia, kucha bandia,kope bandia akiambiwa amependeza anasema Ahsante, huyo nae ni......Taahira!
5. Mwanamke ambae hamilik hata kitanda lakin anataka mwanaume mwenye gari huyo nae ni....Taahira!
6. Atakaesoma post hii kisha akatoa mapovu badala ya kubadilika wakati anaelimishwa huyo nae ni......Taahira.
Nawakilisha
God save us