Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,675
- 71,479
Hongeraa i wish ningekuwa hata jiran yako aiseee
Ungefanyaje?
Hongeraa i wish ningekuwa hata jiran yako aiseee
Hilo ni povuu la ta.......Mwanaume anaeacha kufanya yanayomuhusu na kuja jukwaani kulialia na mambo ya kike naye ni tahira wahed
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umetisha sanaHabari za wakatii huu wadau.
Nimeipata sehemwu nikaona sio mbaya nijashea nanyi mkupata kujua wanawake walivyo watu wa ajabu....
1. Anaevaa mini-skirt halafu akikaa mahali anahangaika kujiziba magoti huyo nae ni.....Taahira!
2. Anaetoa mimba kisha analala na midoli huyo nae ni....Taahira!
3. Anaedate na mume wa m2 miaka nenda rudi, na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo nae ni..........Taahira!
4. Anaeweka nywele bandia, kucha bandia,kope bandia akiambiwa amependeza anasema Ahsante, huyo nae ni......Taahira!
5. Mwanamke ambae hamilik hata kitanda lakin anataka mwanaume mwenye gari huyo nae ni....Taahira!
6. Atakaesoma post hii kisha akatoa mapovu badala ya kubadilika wakati anaelimishwa huyo nae ni......Taahira.
Nawakilisha
God save us
Nikuone, nikusome then nikuelewe tuu nothing moreUngefanyaje?
Tungoje tuKwa jinsi ulivyo malizia hapo chini naona umejikinga na puvu lakini wangoje waje tuone maoni yao
Mwanaume anaeona hoja juu ya mwanamke imetolewa na wanawake wakaikubali alafu yeye akapinga, ni tahiraMwanaume anaeacha kufanya yanayomuhusu na kuja jukwaani kulialia na mambo ya kike naye ni tahira wahed
Sent using Jamii Forums mobile app
mwanaume unaacha kazi na kuwaza wanawake huoo ni : ufwahillaaaaaHabari za wakatii huu wadau.
Nimeipata sehemwu nikaona sio mbaya nijashea nanyi mkupata kujua wanawake walivyo watu wa ajabu....
1. Anaevaa mini-skirt halafu akikaa mahali anahangaika kujiziba magoti huyo nae ni.....Taahira!
2. Anaetoa mimba kisha analala na midoli huyo nae ni....Taahira!
3. Anaedate na mume wa m2 miaka nenda rudi, na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo nae ni..........Taahira!
4. Anaeweka nywele bandia, kucha bandia,kope bandia akiambiwa amependeza anasema Ahsante, huyo nae ni......Taahira!
5. Mwanamke ambae hamilik hata kitanda lakin anataka mwanaume mwenye gari huyo nae ni....Taahira!
6. Atakaesoma post hii kisha akatoa mapovu badala ya kubadilika wakati anaelimishwa huyo nae ni......Taahira.
Nawakilisha
God save us
Mwanaume anaona kosa kwa mwanaume mwenzake alafu akamtusi kuliko kumuita pembeni amshauri uyo ni .....utahiramwanaume unaacha kazi na kuwaza wanawake huoo ni : ufwahillaaaaa
ma dada poa katika ubora wenumwanaume unaacha kazi na kuwaza wanawake huoo ni : ufwahillaaaaa
weee unawishi awe jirani yako akati mimi mda nawish awee wanguu kabisa maana naona kama ni mwanamke mwenye busara sanaa ,mnyenyekevuu mtamuuuuuHongeraa i wish ningekuwa hata jiran yako aiseee
Hahahah mkuu haya mambo yanaitaji process kidogo wengne wanaeza fake life huku jf so ni bora awe jiran kwanzaweee unawishi awe jirani yako akati mimi mda nawish awee wanguu kabisa maana naona kama ni mwanamke mwenye busara sanaa ,mnyenyekevuu mtamuuuuu
mkuu nyota njema huonekana asubuhiii and lisemwalo lipo kama halipo lajaaaaaHahahah mkuu haya mambo yanaitaji process kidogo wengne wanaeza fake life huku jf so ni bora awe jiran kwanza
Hahahahah sawa mkuumkuu nyota njema huonekana asubuhiii and lisemwalo lipo kama halipo lajaaaaa
🔨🔨🔨7. Anaeomba omba hela nae ni taahira
Sasa mbona na wewe umefanya hayo hayo uliyoyaandika.Anaekomaa kutoa povu kwenye kwaajili ya maisha ya mtu binafsi ambae hakuhusu, si ndugu yako na wala haombi kwake hela ya mboga huyo nae ni taahira
Sent using Jamii Forums mobile app